Nitaelezea kisaikolojia chanzo na tiba ya Ile hali "mbaya" kimwili na kiakili unayosikia baada ya kuzini

Nitaelezea kisaikolojia chanzo na tiba ya Ile hali "mbaya" kimwili na kiakili unayosikia baada ya kuzini

kali linux

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,299
Reaction score
6,102
Hello bosses and roses...

Ni muda sana sijaandika kuhusu spirituality na psychology lakini leo nmekutana na uzi wa jamaa mmoja analalamika kwamba hakuzini kwa miezi 6 ila baada ya kuzini tu anajisikia vibaya siku ya nne sasa.

Iko hivi, kwanza kabisa kabla ya kuzini mara nyingi kuna moments za nyuma yake, moments hizo huhusisha gharama kama vile kuhonga, usafiri, hata gharama ya muda pia.

Hizo moments na gharama zote (za kifedha na muda) ndio chanzo kikubwa cha hio hali mbaya unayojisikia, nitaelezea hapa chini...

Pale tu ukimaliza kuzini na ukafurahia jambo hilo kwa dkk chache kinachofuata ni majuto (regrets) regrets huwa kubwa kulingana na kwanza gharama, muda na risk ulizochukua ili kupata starehe ya dkk kadhaa, pili uwezo wako wa kuhandle loss, kuna mwingine loss ya 100k sio issue ila mwingine akipoteza 20k atalia siku 2.

Katika ubongo wa binadamu, hakuna sumu kubwa kama majuto (regrets), majuto yamefanya watu wajiue, watu wawe machizi, etc....

Sasa yale majuto ya kuzini na ile hali ya kupoteza (loss) inakuja kuathiri ubongo na kuzuia utoaji wa kemikali muhimu za kuendesha hisia, hapo ndipo mwili nao una-react unaanza kujihisi mchovu, huna hamu ya chochote kile.

Kama bado haukubaliani na mm jiulize kwa nini kama ulizini kwa maandalizi (kuhonga, kusafiri kufuata mwanamke/mwanaume, etc...) ndipo huwa unajisikia vibaya hivyo ila zile za kimasikhara tu yaan paa mmeingia kingi bila kutegemea (muulize rikiboy ) mara nyingi haziji na hio effect ya kujisikia "vibaya"

Na pia wale wanaozini kila siku ila ni wamekubaliana kuishi wote bila ndoa nao huwa hawa hawapati hio hali ya kujisikia vibaya bali utasikia "Cha asbh kinachangamsha" sababu yeye kupata hio hawekezi saana kama yule wa kuhonga.

So tiba yake ni nini? Tiba yake ni kati ya haya:-

1) kuacha kuhonga na kuzini

2) Kama 1 imekushinda basi ondoa kabisa hisia ya majuto baada ya kuzini, ikija tu ji-distract ufanye kitu kingine, mfano kwa huyu alieweka uzi anasema siku ya nne sasa anajisikia vibaya dawa yake tu ni kuacha kujutia, akiacha kujutia ubongo unajireset na kuendelea kawaida

3)Pia kama 1 na 2 huziwezi basi oa, au ishi na mwenza wako hio itakupa fursa ya wewe kupata tendo bila kuwekeza sana, hivyo kupunguza majuto baada ya tendo.

Learn or suffer......
~ kali linux
 
Majuto ya uzinifu hayajali kimasihara au ulijipangaje Majuto ni majuto na ni mjukuu

Issue ni kiasi cha majuto, mara nyingi zaidi majuto ya kugharamia saana starehe ya dkk chache ni makubwa kuliko.

Japo mara chache hata ya kimasihara nayo yanaweza kuwa makubwa kulingana na mazingira mfano kama mtu hakutumia kinga
 
kinachofanya ujutie baada ya uzinzi sio hizo gharama za kuhonga kumtunza mwanamke au mwanaume hapana maana hela inatafutwa na unaipata hiyo ni harasa kama hasara nyingine tu ,kwahiyo utapata hela tena na utaonga tena na tena ,sasa tuweke sawa hii hoja kinacho kufanya ujutie baada ya uzinzi ni hiyo dhambi ulioifanya dhambi ya uzinzi hata kama huitambui au huamini kuwa ni dhambi ila kiroho inakuhukumu na haikuachi salama
 
Hello bosses and roses...

Ni muda sana sijaandika kuhusu spirituality na psychology lakini leo nmekutana na uzi wa jamaa mmoja analalamika kwamba hakuzini kwa miezi 6 ila baada ya kuzini tu anajisikia vibaya siku ya nne sasa.

Iko hivi, kwanza kabisa kabla ya kuzini mara nyingi kuna moments za nyuma yake, moments hizo huhusisha gharama kama vile kuhonga, usafiri, hata gharama ya muda pia.

Hizo moments na gharama zote (za kifedha na muda) ndio chanzo kikubwa cha hio hali mbaya unayojisikia, nitaelezea hapa chini...

Pale tu ukimaliza kuzini na ukafurahia jambo hilo kwa dkk chache kinachofuata ni majuto (regrets) regrets huwa kubwa kulingana na kwanza gharama, muda na risk ulizochukua ili kupata starehe ya dkk kadhaa, pili uwezo wako wa kuhandle loss, kuna mwingine loss ya 100k sio issue ila mwingine akipoteza 20k atalia siku 2.

Katika ubongo wa binadamu, hakuna sumu kubwa kama majuto (regrets), majuto yamefanya watu wajiue, watu wawe machizi, etc....

Sasa yale majuto ya kuzini na ile hali ya kupoteza (loss) inakuja kuathiri ubongo na kuzuia utoaji wa kemikali muhimu za kuendesha hisia, hapo ndipo mwili nao una-react unaanza kujihisi mchovu, huna hamu ya chochote kile.

Kama bado haukubaliani na mm jiulize kwa nini kama ulizini kwa maandalizi (kuhonga, kusafiri kufuata mwanamke/mwanaume, etc...) ndipo huwa unajisikia vibaya hivyo ila zile za kimasikhara tu yaan paa mmeingia kingi bila kutegemea (muulize rikiboy ) mara nyingi haziji na hio effect ya kujisikia "vibaya"

Na pia wale wanaozini kila siku ila ni wamekubaliana kuishi wote bila ndoa nao huwa hawa hawapati hio hali ya kujisikia vibaya bali utasikia "Cha asbh kinachangamsha" sababu yeye kupata hio hawekezi saana kama yule wa kuhonga.

So tiba yake ni nini? Tiba yake ni kati ya haya:-

1) kuacha kuhonga na kuzini

2) Kama 1 imekushinda basi ondoa kabisa hisia ya majuto baada ya kuzini, ikija tu ji-distract ufanye kitu kingine, mfano kwa huyu alieweka uzi anasema siku ya nne sasa anajisikia vibaya dawa yake tu ni kuacha kujutia, akiacha kujutia ubongo unajireset na kuendelea kawaida

3)Pia kama 1 na 2 huziwezi basi oa, au ishi na mwenza wako hio itakupa fursa ya wewe kupata tendo bila kuwekeza sana, hivyo kupunguza majuto baada ya tendo.

Hivi lakini, nikweli mwanaume hawezi kuishi bila kutoka nje ya ndoa yake?
 
Mara ya mwisho kuchepuka ndio niliamini akili hurudi tu baada ya kufika mshindo, nikawaza nimefanya nini hiki na huyu mtu ambae hata siku mbili hatuna. Gharama nilizotumia sikuwaza nikaamua nabadilika na nashukuru naona utofauti sasa.
 
Hongera mtoa maada..
Ila umeeleza angle moja tu ya hasara/majuto anayopata mzinifu ambapo wewe umeegemea zaid kwenye kupoteza Pesa+muda.
Lakini yapo mengine umeyaacha ambayo hayo uliyoyaacha ndo mazito zaidi na ndiyo huumiza wengi pale wanapokuwa katika kipindi cha kujutia lile tendo.

Ni kwa kwamba kiufupi zinaa ni tendo/jambo zito KIROHO ambalo binadamu tunalifanya japo tunaliona ni la kawaida ila nyuma ya pazia tunafanya kosa kubwa mno bila kujijua.

Katika maandiko matakatifu ya kiislam,zinaa ndiyo dhambi/kosa pekee ambalo Mungu hakusema tusilifanye bali amesema TUSILIKARIBIE KABISA,
Ile hali ya kuchukulia poa/kawaida wakati upo katika process ya kulikaribia na kulifanya kabisa,hapa huwa hatuwazi na hatujali madhara yoyote yatakayotokea baada ya tendo.
Haya ni baadhi ya mambo yanayomletea mzinifu majuto pindi tu atakapomaliza tendo.
1:Hatari alizopitia kuanzia kumfuatilia mwanamke/mwanaume
2:Anaiwazia dhambi/kosa la kuzini kwa huyo mwenza
3:Kujilaumu kwa kudanganywa na shetani kwamba hiki unachokiguatilia ni chuma haswa,si unaona tako lile,si unaona paja lile,si unano alivyo vile ...ukimfunua nguo zake ndo utaenjoy zaid.....siku ya tukio mfanyaji hushangaa baada ya kumaliza tu ule uzuri wote aliokuwa anauona hauoni tena,mbaya zaidi yule mwanamke/mwanaume alivyokuwa anamuwazia yupo tofauti na alivyoona kuanzia umbo,sehemu za siri nk....hapa ndo wengi hujuta mnnoo akiumganisha na magharama,muda alioutumia kumgukuzia/kufukuziwa huyo mtu.
4:Hatari ya kuiweka rehani afya yake
5:Hatati ya kumtia/kupata mimba
6:Hatari ya kujulikana na watu
7:Hatari ya kumuachanisha na mume/mke wake
Haya ni badhi ya mambo yanayo mfanya mtu kijilaumu sana dk chache alizostarehe kuweza kuharibu maisha yake yote
 
Sijasoma uzi ila mbona mi "nikizini" huwa najisikia vizuri wkt wa tendo na hata siku 3 au wiki baadae.

HIchi kitendo kike designed sio tu kwa reproduction bali kumburudisha mwanadamu dume na jike wanaopendana.Wenye hisia za upendo kati yao

Sasa nyie mnajisikia vibaya sababu hamfanyi mapenzi bali mnafanya ngono na uzinzi na watu msiowapenda.Mmewaokota huko vichakani,hamuwaamini bali mmewalipa ili mmaloze ashki zenu na ashki zinqpoishi akili hukaa sawa na majuto huja.Ndo hapo tunaona sredi ya nikichomeka naona KITU KAMA MSASA.

Kwa mazingira hayo lazima ujisikie vibaya coz mawazo ya kutisha yqnqyokujia ni mengi,ukimwi,UTI,gono,kaswende,je lile lishangazi likisema lina mimba yangu itakuaje.

Anywayz,mtajijua,mi na babu yenu tunajisikiaga vizuri
 
Issue ni kiasi cha majuto, mara nyingi zaidi majuto ya kugharamia saana starehe ya dkk chache ni makubwa kuliko.

Japo mara chache hata ya kimasihara nayo yanaweza kuwa makubwa kulingana na mazingira mfano kama mtu hakutumia kinga
Mimi Huwa nakuwa na majuto makubwa....sikuiz bora tu nibakie na wife na starehe yangu ni kula tu na vinywaji....
 
Mara ya mwisho kuchepuka ndio niliamini akili hurudi tu baada ya kufika mshindo, nikawaza nimefanya nini hiki na huyu mtu ambae hata siku mbili hatuna. Gharama nilizotumia sikuwaza nikaamua nabadilika na nashukuru naona utofauti sasa.
Unaweza kujiuliza mpaka nani alimtongoza mwenzake maana hapo huamini kabisa kama ni wewe ndiyo umemtongoza

Ila majuto 😂🙌🏾
 
Hello bosses and roses...

Ni muda sana sijaandika kuhusu spirituality na psychology lakini leo nmekutana na uzi wa jamaa mmoja analalamika kwamba hakuzini kwa miezi 6 ila baada ya kuzini tu anajisikia vibaya siku ya nne sasa.

Iko hivi, kwanza kabisa kabla ya kuzini mara nyingi kuna moments za nyuma yake, moments hizo huhusisha gharama kama vile kuhonga, usafiri, hata gharama ya muda pia.

Hizo moments na gharama zote (za kifedha na muda) ndio chanzo kikubwa cha hio hali mbaya unayojisikia, nitaelezea hapa chini...

Pale tu ukimaliza kuzini na ukafurahia jambo hilo kwa dkk chache kinachofuata ni majuto (regrets) regrets huwa kubwa kulingana na kwanza gharama, muda na risk ulizochukua ili kupata starehe ya dkk kadhaa, pili uwezo wako wa kuhandle loss, kuna mwingine loss ya 100k sio issue ila mwingine akipoteza 20k atalia siku 2.

Katika ubongo wa binadamu, hakuna sumu kubwa kama majuto (regrets), majuto yamefanya watu wajiue, watu wawe machizi, etc....

Sasa yale majuto ya kuzini na ile hali ya kupoteza (loss) inakuja kuathiri ubongo na kuzuia utoaji wa kemikali muhimu za kuendesha hisia, hapo ndipo mwili nao una-react unaanza kujihisi mchovu, huna hamu ya chochote kile.

Kama bado haukubaliani na mm jiulize kwa nini kama ulizini kwa maandalizi (kuhonga, kusafiri kufuata mwanamke/mwanaume, etc...) ndipo huwa unajisikia vibaya hivyo ila zile za kimasikhara tu yaan paa mmeingia kingi bila kutegemea (muulize rikiboy ) mara nyingi haziji na hio effect ya kujisikia "vibaya"

Na pia wale wanaozini kila siku ila ni wamekubaliana kuishi wote bila ndoa nao huwa hawa hawapati hio hali ya kujisikia vibaya bali utasikia "Cha asbh kinachangamsha" sababu yeye kupata hio hawekezi saana kama yule wa kuhonga.

So tiba yake ni nini? Tiba yake ni kati ya haya:-

1) kuacha kuhonga na kuzini

2) Kama 1 imekushinda basi ondoa kabisa hisia ya majuto baada ya kuzini, ikija tu ji-distract ufanye kitu kingine, mfano kwa huyu alieweka uzi anasema siku ya nne sasa anajisikia vibaya dawa yake tu ni kuacha kujutia, akiacha kujutia ubongo unajireset na kuendelea kawaida

3)Pia kama 1 na 2 huziwezi basi oa, au ishi na mwenza wako hio itakupa fursa ya wewe kupata tendo bila kuwekeza sana, hivyo kupunguza majuto baada ya tendo.

Learn or suffer......
~ kali linux
Hiyo option ya mwisho namba 3 ndio ilipaswa iwe first priority,
Ndoa huleta utulivu wa nafsi ukiacha faida nyengine nyingi.
 
jamaa mmoja analalamika kwamba hakuzini kwa miezi 6 ila baada ya kuzini tu anajisikia vibaya siku ya nne sasa.
Huyu amepata majuto kutokana na kuteleza kufanya dhambi ya kuzini

Inaonesha jamaa ni mtu wa dini Kwahiyo anajutia kutenda dhambi na kuharibu mipango yake

Ila kama huamini kuwa uzinzi sio dhambi na matumizi uliyotumia hayajakupunguzia kitu kwenye mfuko wako pamoja na mengine kama kuwa salama kiafya

Basi huwezi kujutia na kukosa furaha
 
Back
Top Bottom