Nitabaki salama kweli?

Nitabaki salama kweli?

habari za wakati huu wanajf!!!

Niende direct kwenye Mada, kutokana sababu mbalimbali nimekuwa nikipiga punyeto mara moja kila baada ya miezi mitatu!
Je itaadhiri chochote katika swala zima la afya?
vipi sperm fertility itaendelea kuwa normal?

Natumai nitapata ushauri wa kiwango cha juu toka kwenu wanajf.

NB:Nipo serious katika hili, ushauri wa kujenga utanifurahisha, ila kejeli na matusi kweli itanifanya nijisikie vibaya
Hiyo ni salama kabisa..sperm fertility haiathiliwi na chochote ata ukiwa unapiga kila cku mara moja..endeleza tu kuliko ukadantie malaya.
 
Acha huo mchezo kijana. Utaumia na kulia pekee siku zijazo mbeleni.

Huu mchezo ukishauzoea ni utaendelea nao tu. Tena kila siku.
 
Punyeto kwa miezi miezi mitatu haina madhara.

Punyeto ya kila siku au baada ya siku mbili ,haina madhara yapapo kwapapo ila Madhara utayaona baadae..

Sema nn ,, kwasababu umeamua ivo kutokana nasababu zako maybe ili kufikia malengo yako .

Basi niweze kukuambia Haina madhara endapo unafanya km ulivyoainisha hapo,, ila km nidaily duuuhhh jiandae kua wauume ulosimama legelege,, huwezi kurudia tendo .
punyeto ni dhambi

aache kabisa
 
we muongo sana mkuu, miezi mitatu ndo unapiga? yaani wewe kama ni chaputa ni chaputa tu, sidhani hata unamalizaga wiki hujajilipua
 
Bora upige punyeto mwayego kuliko kuji expose kwa magonjwa
ngono pia ni dhambi
dhambi ya uzinzi malipo yake ni magonjwa
dhambi ya punyeto nadhani side effect zinajulikana kuna nyuzi mbali mbali humu watu wakilalamika juu ya NYETO
 
ngono pia ni dhambi
dhambi ya uzinzi malipo yake ni magonjwa
dhambi ya punyeto nadhani side effect zinajulikana kuna nyuzi mbali mbali humu watu wakilalamika juu ya NYETO
Basi sawa...kwa hiyo akishikwa ugwadu ni bora akamate yeyote anayekuja mbele yake au ajiue ili asitende dhambi?
Btw shambi ni perceptional na mind programming tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom