Nitabaki salama kweli?

Nitabaki salama kweli?

Niache 2

Member
Joined
Aug 7, 2017
Posts
69
Reaction score
34
Habari za wakati huu wana JF,

Niende direct kwenye mada, kutokana sababu mbalimbali nimekuwa nikipiga punyeto mara moja kila baada ya miezi mitatu.

Je itaadhiri chochote katika swala zima la afya?

Vipi sperm fertility itaendelea kuwa normal?

Natumai nitapata ushauri wa kiwango cha juu toka kwenu wana JF.

NB: Nipo serious katika hili, ushauri wa kujenga utanifurahisha, ila kejeli na matusi kweli itanifanya nijisikie vibaya.
 
habari za wakati huu wanajf!!!

Niende direct kwenye Mada, kutokana sababu mbalimbali nimekuwa nikipiga punyeto mara moja kila baada ya miezi mitatu!
Je itaadhiri chochote katika swala zima la afya?
vipi sperm fertility itaendelea kuwa normal?

Natumai nitapata ushauri wa kiwango cha juu toka kwenu wanajf.

NB:Nipo serious katika hili, ushauri wa kujenga utanifurahisha, ila kejeli na matusi kweli itanifanya nijisikie vibaya
ukifa sawa tu
 
habari za wakati huu wanajf!!!

Niende direct kwenye Mada, kutokana sababu mbalimbali nimekuwa nikipiga punyeto mara moja kila baada ya miezi mitatu!
Je itaadhiri chochote katika swala zima la afya?
vipi sperm fertility itaendelea kuwa normal?

Natumai nitapata ushauri wa kiwango cha juu toka kwenu wanajf.

NB:Nipo serious katika hili, ushauri wa kujenga utanifurahisha, ila kejeli na matusi kweli itanifanya nijisikie vibaya
Punyeto kwa miezi miezi mitatu haina madhara.

Punyeto ya kila siku au baada ya siku mbili ,haina madhara yapapo kwapapo ila Madhara utayaona baadae..

Sema nn ,, kwasababu umeamua ivo kutokana nasababu zako maybe ili kufikia malengo yako .

Basi niweze kukuambia Haina madhara endapo unafanya km ulivyoainisha hapo,, ila km nidaily duuuhhh jiandae kua wauume ulosimama legelege,, huwezi kurudia tendo .
 
Punyeto&uzinzi and its related vyote vina madhara either direct or indirect
 
Punyeto kwa miezi miezi mitatu haina madhara.

Punyeto ya kila siku au baada ya siku mbili ,haina madhara yapapo kwapapo ila Madhara utayaona baadae..

Sema nn ,, kwasababu umeamua ivo kutokana nasababu zako maybe ili kufikia malengo yako .

Basi niweze kukuambia Haina madhara endapo unafanya km ulivyoainisha hapo,, ila km nidaily duuuhhh jiandae kua wauume ulosimama legelege,, huwezi kurudia tendo .
ni mara moja kwa miezi 3 kama nilivyoainisha hapo juu
 
ni mara moja kwa miezi 3 kama nilivyoainisha hapo juu
Fresh mkuuuu ,, wala haina madhara nn . maana kwa mwaka nimara nne.

haina madhara wala nn , sema nahofia sana km inaweza ikakupa hali yakuwaogopa wanawake .ila km una interact na wanawake ila hufanyi ngono sawa sawa.
 
Fresh mkuuuu ,, wala haina madhara nn . maana kwa mwaka nimara nne.

haina madhara wala nn , sema nahofia sana km inaweza ikakupa hali yakuwaogopa wanawake .ila km una interact na wanawake ila hufanyi ngono sawa sawa.
kwa kweli siwaogopi hata kidogo mkuuu
nakaa nao vizuri sema tu sifanyi nao chochote
 
Umejiwekea interval nzuri sioni madhara yatakujaje labda utumie sabuni ya magadi.

Hata hivyo sidhani hata kujichua kila siku kuna madhara (wa bweni mtanielewa)
 
Hawa wanaume wa Dar ni shida!any way we endelea kunyetuka tu na siku uje tena kutulalamikia nguvu zimeisha.
 
Umejiwekea interval nzuri sioni madhara yatakujaje labda utumie sabuni ya magadi.

Hata hivyo sidhani hata kujichua kila siku kuna madhara (wa bweni mtanielewa)
sina utaratibu wa kutumia sabuni
sijawahi kutumia sabuni
 
Watu wanapigishwa blow job daily na wapenz wao ila watakwambia nyeto ina madhara.. What's the difference anyway? Piga nyeto utimize malengo yako, mademu wenyewe pasua kichwa hawa
 
Mkuu, endelea vivyo hivyo utakuwa kama faru yule aliyekuwa anapanda faru wa mbunga nzima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom