NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

Aiseee kwahiyo hiki nacho ni chuo???? Inasikitisha kwa kweli
 
Aisee hii haina tofauti na datastar college...mdog wang amekuwa akihangaika kutafuta chuo kuwa kachaguliwa wapi..juzi ikabidi niende apo chuoni nikakuta kwenye mbao za matangazo majina ya wanafunzi walochaguliwa..swali ni kwamba wameshindwa vipi ku upload hayo majina kwa website yao?.wameshindwa ku maintain?au sijui nini???....hiiii ni shida kwa kweli..

Lakini huu urasimu tcu wameutaka wenyew ilikuwa haina haja kusubiri confirmation kutoka chuo walichokupanga
 
Aisee hii haina tofauti na datastar college...mdog wang amekuwa akihangaika kutafuta chuo kuwa kachaguliwa wapi..juzi ikabidi niende apo chuoni nikakuta kwenye mbao za matangazo majina ya wanafunzi walochaguliwa..swali ni kwamba wameshindwa vipi ku upload hayo majina kwa website yao?.wameshindwa ku maintain?au sijui nini???....hiiii ni shida kwa kweli..

Lakini huu urasimu tcu wameutaka wenyew ilikuwa haina haja kusubiri confirmation kutoka chuo walichokupanga


Mkuu, na hiyo ndiyo hoja yangu ya msingi... Chuo kikongwe kama hicho WHY wasiweke majina kwenye website?!!

Badala yake eti wanabandika majina kwenye mbao za matangazo chuoni, yaani applicants waende kuangalia pale. Hii ni zaidi ya maajabu.

-Kaveli-
 
Sasa mjomba unaongea bila DATA

Kwanza haupaswi kutukana wakat haujafanya RESEARCH .

NAAMINi mpka unakiweka Chuo cha NIT katika selections zako utakuwa unakijua saana

Sasa ni vyema ukauliza

Usjichanganye Dogo ..unataka kusoma Relax

Nakusaidia kwa vitu vichache usivyovijua kuhusu NIT


Mfumo wao wa academic ni STAGGERED (Kama haujui maana yake(Google)

Pili Wanafunz wapya NIT wanaingia tarehe 28 /November ndo inaanza Reg ...

Sasa bado mwezi mzima unawatukana ..kuwa mpole ..NIT sio kama CBE

USPENDE KUTUKANA WAKATI HUJUI UNDANI WA MAMBO ..

MAJINA lazima yawe approved kama wanafunzi wana vigezo ndo yawe aploaded kwa Site yao
 
Kigezo cha mtu kuchaguliwa diploma unakijua?
Ni cheti cha form four
ww ni kichwa maji...soma vizuri hiyo comment.chuo gani cha serikali unachokijua ww wanatoa engineering diploma ya miaka 2 kwa waliofeli form 6 tofauti na hao nit?
 
Sasa mjomba unaongea bila DATA

Kwanza haupaswi kutukana wakat haujafanya RESEARCH .

NAAMINi mpka unakiweka Chuo cha NIT katika selections zako utakuwa unakijua saana

Sasa ni vyema ukauliza

Usjichanganye Dogo ..unataka kusoma Relax

Nakusaidia kwa vitu vichache usivyovijua kuhusu NIT


Mfumo wao wa academic ni STAGGERED (Kama haujui maana yake(Google)

Pili Wanafunz wapya NIT wanaingia tarehe 28 /November ndo inaanza Reg ...

Sasa bado mwezi mzima unawatukana ..kuwa mpole ..NIT sio kama CBE

USPENDE KUTUKANA WAKATI HUJUI UNDANI WA MAMBO ..

MAJINA lazima yawe approved kama wanafunzi wana vigezo ndo yawe aploaded kwa Site yao


Unaijua maana halisi ya neno 'kutukana'? kama huijuwi iulize Google.

By the way, kwaiyo unatueleza hapa kwamba "kufanya RESEARCH" ndiyo justification ya KUTUKANA? hehehee unaiaibisha taaluma yako Mkuu.

Sasa twende kwenye point:

a). Umesema Tarehe 28 November ndiyo wanafunzi wanaingia for Registration. Well, sasa niambie... hiyo tarehe ni official? If YES, ipo publicized kwenye notice board pekee? au pia na kwenye website yenu?

b). Majina mshayabandika kwenye ubao wa matangazo? If YES, kwahiyo kwenye ubao majina hayahitaji kuwa approved kwanza, ila kwenye website majina yawe approved kwanza eeh?

c). Vyuo vingine vyote vili-upload majina kwenye website zao mapema tu, tena sasahivi baadhi ya vyuo visha-upload mpaka 3rd batch!

Lakini NIT bado! unasema eti mpaka majina yawe approved kwanza, hehehee mnashangaza sana nyie watu. Mna-approve vitu gani hivyo kaka hamkamilishi? au mna-approve qualifications za kutengeneza Jua? hehehee

Mkuu, hebu fanyeni kazi. Acheni uvivu na ubabaishaji.

Ni classmate wangu, yupo kijijini kwasasa, since last week ndiyo alikuwa ananisumbua nifollow-up kujua amepata chuo gani kati ya vinne alivyojaza. Na tayari tushajua chuo alichochaguliwa. Na sio NIT CHUO CHA KATA!!!

Mie nilichagua kulima horticulture tangu mwaka jana. Karibu bro, njoo ufungashe matembele uongeze damu.

-Kaveli-
 
Unaijua maana halisi ya neno 'kutukana'? kama huijuwi iulize Google.

By the way, kwaiyo unatueleza hapa kwamba "kufanya RESEARCH" ndiyo justification ya KUTUKANA? hehehee unaiaibisha taaluma yako Mkuu.

Sasa twende kwenye point:

a). Umesema Tarehe 28 November ndiyo wanafunzi wanaingia for Registration. Well, sasa niambie... hiyo tarehe ni official? If YES, ipo publicized kwenye notice board pekee? au pia na kwenye website yenu?

b). Majina mshayabandika kwenye ubao wa matangazo? If YES, kwahiyo kwenye ubao majina hayahitaji kuwa approved kwanza, ila kwenye website majina yawe approved kwanza eeh?

c). Vyuo vingine vyote vili-upload majina kwenye website zao mapema tu, tena sasahivi baadhi ya vyuo visha-upload mpaka 3rd batch!

Lakini NIT bado! unasema eti mpaka majina yawe approved kwanza, hehehee mnashangaza sana nyie watu. Mna-approve vitu gani hivyo kaka hamkamilishi? au mna-approve qualifications za kutengeneza Jua? hehehee

Mkuu, hebu fanyeni kazi. Acheni uvivu na ubabaishaji.

Ni classmate wangu, yupo kijijini kwasasa, since last week ndiyo alikuwa ananisumbua nifollow-up kujua amepata chuo gani kati ya vinne alivyojaza. Na tayari tushajua chuo alichochaguliwa. Na sio NIT CHUO CHA KATA!!!

Mie nilichagua kulima horticulture tangu mwaka jana. Karibu bro, njoo ufungashe matembele uongeze damu.

-Kaveli-
Kwanza nikukosoe kuwa mm sio Mfanyakazi wa NIT .RELAX .
Na issue ya academic calender IPO kwenye site ..ila tatzo mnaingia mnaangalia List of Selected and not otherwise

Pili Nilikwambia NIT wanatumia STAGGERED kama umeifatilia ndhani ungeelewa zaidi

Third iyo majina DEGREE NI mengi huyawezi kutosha kwa Mbao za Matangazo ya NIT
Na majina yaliyobandikwa ni Ya LEVEL 4 (CERTIFCATES)
Kama unakuja kusoma CEETIFICATES yapo notesboard na Website yapo published weeks ago

Namaliza kwa kukwambia hivi Tarehe 28 ndo mwaka wa kwanza wanaenda FIELD so Ndo official date ya kuanza Registration kwa first year 2016/2017 kuanzia tarehe 28nov -5 dec

Narudia kuwa mm sio mfanyakazi wa NIT ila nimekusaidia tu kwakuwa nimefanya Reasearch na nayajua haya

Pia haujawa selected kuja NIT so katika approval unaweza kukatwa ndo maana hawajarelease majina official

Na ile majina ili leak kwa JF ikonesha picha Za majina basi uo ndo utendaji mbovu wa kazi kwakuwa haikutakiwa

Na najua wazi umeona jina lako na kozi yako Kupitia that SEARCH link ya TCU ..so relax mjomba utasoma mpka utataka likizo

Lastly na kwa muhimu ..usipende kusikiliza Rumors ...kuwa detailed and when conveying a massage make sure yo'are COMPOSED with wat your delivering

AVI JR
 
[/QUOTE]
Kwanza nikukosoe kuwa mm sio Mfanyakazi wa NIT .RELAX .
Na issue ya academic calender IPO kwenye site ..ila tatzo mnaingia mnaangalia List of Selected and not otherwise

Pili Nilikwambia NIT wanatumia STAGGERED kama umeifatilia ndhani ungeelewa zaidi

Third iyo majina DEGREE NI mengi huyawezi kutosha kwa Mbao za Matangazo ya NIT
Na majina yaliyobandikwa ni Ya LEVEL 4 (CERTIFCATES)
Kama unakuja kusoma CEETIFICATES yapo notesboard na Website yapo published weeks ago

Namaliza kwa kukwambia hivi Tarehe 28 ndo mwaka wa kwanza wanaenda FIELD so Ndo official date ya kuanza Registration kwa first year 2016/2017 kuanzia tarehe 28nov -5 dec

Narudia kuwa mm sio mfanyakazi wa NIT ila nimekusaidia tu kwakuwa nimefanya Reasearch na nayajua haya

Pia haujawa selected kuja NIT so katika approval unaweza kukatwa ndo maana hawajarelease majina official

Na ile majina ili leak kwa JF ikonesha picha Za majina basi uo ndo utendaji mbovu wa kazi kwakuwa haikutakiwa

Na najua wazi umeona jina lako na kozi yako Kupitia that SEARCH link ya TCU ..so relax mjomba utasoma mpka utataka likizo

Lastly na kwa muhimu ..usipende kusikiliza Rumors ...kuwa detailed and when conveying a massage make sure yo'are COMPOSED with wat your delivering

AVI JR


1. Nikukosoe: Academic Calender iliyopo kwenye website ni DEAD calender! Ni calendar ya 2014/2015 - 2015/2016. Kama kuna LATEST academic calender (2016/2017 onwards) in that site, hebu tupe link hapa tuone.

NIT.JPG


2. Nikuweke sawa: STAGGERED programme mode is for NTA level 4 (Certificate) ONLY! Level zinginge zote za juu (Bachelor Degree inclusive) wanatumia NORMAL programme mode.

3. Selection release (for Certificates) iliyopo kwenye website, haifunguki! Narudia... majina ya applicants wa Certificate yalipo kwenye website, HAYAFUNGUKI! Sasa nadhani the only alternative ni kwamba applicants wote countrywide waje hapo Mabibo kuja kuangalia majina kwenye ubao wa matangazo. Hehehe

4. Unasema Registration date ni November 28 - December 5. Hii tarehe ni official? If YES, imetangazwa wapi? Tupe link or proof.

5. Ofourse YES, kupitia link ya TCU eventually mwana aliona course & chuo alichochaguliwa, sio NIT, ni chuo kingine na majina official wamesha-release.

6. Yale majina yenu ya picha yali-leak eeeh. Hehehee. Vyema kaka umekiri kuwa huo ni UTENDAJI MBOVU!

7. I'm fully packed with info when delivering all these. Siongei haya from the vacuum. Na sishangai wewe kutetea hiyo 'lazy affair' running hapo chuoni kwenu, coz Miafrika ndiyo tulivyo!

-Kaveli-
 



1. Nikukosoe: Academic Calender iliyopo kwenye website ni DEAD calender! Ni calendar ya 2014/2015 - 2015/2016. Kama kuna LATEST academic calender (2016/2017 onwards) in that site, hebu tupe link hapa tuone.

View attachment 418655

2. Nikuweke sawa: STAGGERED programme mode is for NTA level 4 (Certificate) ONLY! Level zinginge zote za juu (Bachelor Degree inclusive) wanatumia NORMAL programme mode.

3. Selection release (for Certificates) iliyopo kwenye website, haifunguki! Narudia... majina ya applicants wa Certificate yalipo kwenye website, HAYAFUNGUKI! Sasa nadhani the only alternative ni kwamba applicants wote countrywide waje hapo Mabibo kuja kuangalia majina kwenye ubao wa matangazo. Hehehe

4. Unasema Registration date ni November 28 - December 5. Hii tarehe ni official? If YES, imetangazwa wapi? Tupe link or proof.

5. Ofourse YES, kupitia link ya TCU eventually mwana aliona course & chuo alichochaguliwa, sio NIT, ni chuo kingine na majina official wamesha-release.

6. Yale majina yenu ya picha yali-leak eeeh. Hehehee. Vyema kaka umekiri kuwa huo ni UTENDAJI MBOVU!

7. I'm fully packed with info when delivering all these. Siongei haya from the vacuum. Na sishangai wewe kutetea hiyo 'lazy affair' running hapo chuoni kwenu, coz Miafrika ndiyo tulivyo!

-Kaveli-[/QUOTE]
The big issue here is that " you are attacking me and not my Facts"
I even think to exercise my silence leaving you delivering RUMORS

Ila nimekwambia Mm sio MFANYAKAZI WA NIT
I was just trying to help ni lini wanafungua ..ila still unajitia UJUAJI

BISHANA huku JF lakini NIT haupajui vyema ..Hope Utajua vyema

Unasema Staggered ni kwa NTA 4? SAWA baba mjuaji wewe ...ila IPO siku utaelewa namanisha nini

Na nikupe tu mfano MWAKA WA KWANZA WA DEGREE PRORAMES NDO UNAISHA MWEZI WA 11 TAREHE 28 ILI KUPISHA FIRST YEAR 2016/2017

endelea kubisha na ukweli

Time will ONGEA
 
The big issue here is that " you are attacking me and not my Facts"
I even think to exercise my silence leaving you delivering RUMORS

Ila nimekwambia Mm sio MFANYAKAZI WA NIT
I was just trying to help ni lini wanafungua ..ila still unajitia UJUAJI

BISHANA huku JF lakini NIT haupajui vyema ..Hope Utajua vyema

Unasema Staggered ni kwa NTA 4? SAWA baba mjuaji wewe ...ila IPO siku utaelewa namanisha nini

Na nikupe tu mfano MWAKA WA KWANZA WA DEGREE PRORAMES NDO UNAISHA MWEZI WA 11 TAREHE 28 ILI KUPISHA FIRST YEAR 2016/2017

endelea kubisha na ukweli

Time will ONGEA


Kaka, ujue unachekesha sana.

Mimi sibishi kwamba tarehe ya kufungua yaweza kuwa hiyo Tarehe 28 November. My primary concern ni je wameitangaza wapi (officially) hiyo Tarehe? Yaani kwamba hiyo tarehe ipo publicized wapi, kwenye notice board or kwenye website? au labda ilitangazwa kwa kipaza sauti hapo chuoni?

Na kama tarehe ya kufungua bado haijatangazwa with latest official notice, lakini wewe tayari ushaijua, hizo pia you are delivering mere 'unconfirmed' rumours here.

Hicho ni chuo. Things need to be formalized.

Silence implies a lot. Ila naomba usichoke Mkuu. Now let me stick to my question:

Such Registration date for NEW intake, has it been released with latest official notice? If YES, please prove it.

If NO, then you are just selling smokes here with mere rumours as well.

Chuo kinafanya mambo kilocal, plus lazy affair administration, then utetezi inakuwa eti ni kwa sababu ya STAGGERED programme scheduling. hehehee.

Ili uelewe MANTIKI nzima ya thread hii, may be let me rephrase my question to you:

In regards to Bachelor intake of 2016, as of todate... what's the official latest ground at NIT?? in respect of selection/admission clearance and important dates alerts Vs. applicants' pre-study arrangements.

No matter whose argument here rings more true. Ila kama na hapo bado huoni logic, basi kwaheri bro.

Mkuu, thanks anyway for your some insights in this discussion.

-Kaveli-
 
Wamenichagua aircraft TCU wameshaprove wao wanazingua aisee wasije niletea magumashi kabisa !!!!!!


Hahahaa fuatilia Mkuu, wasije kuletea magumashi kweli.

Maana hata haieleweki. Wengine wanasema majina ya bachelor degree yapo chuoni kwenye ubao wa matangazo. Wengine wanasema majina official bado hayajatoka.

Fuatilieni mapema mjue.

-Kaveli-
 
ww ni kichwa maji...soma vizuri hiyo comment.chuo gani cha serikali unachokijua ww wanatoa engineering diploma ya miaka 2 kwa waliofeli form 6 tofauti na hao nit?
Sawa bichwa tope nimekuelewa
 
Hili li chuo najuta kuchaguliwa hapa daaah website haina updates , wanachelewa kufungua chuo , bado nasikia wanafunzi wanasoma kwa shift daah
 
Hili li chuo najuta kuchaguliwa hapa daaah website haina updates , wanachelewa kufungua chuo , bado nasikia wanafunzi wanasoma kwa shift daah


hahahaa, Mkuu hiyo ndo NIT mwendo wa Kobe. Poleni aisee. Hicho chuo hakieleweki.

Umechaguliwa Certi or Dip or Bachelor ?

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom