Sasa website kutoeleweka ndo kinakuwa chuo cha kata?? Wew sijui ni dem umechoka kupanua mapaja mtaani...subili muda wa kujiunga utafika una haraka gani...madogo mengine mandaz kweli
Dada
cadabraa, mbona una mihasira sana, una kifafa cha mimba? Teh teh teh
Sasa twende kwenye point:
1. Hiyo website yenu haina update yoyote ya chuo. Mmeshindwa hata kuutaarifu umma kuhusu hiyo ratiba yenu ya 'kipekee', just a scheduled calendar ya chuo ili watu wafahamu.
Kuna haja gani kuendelea kulipia domain ya website ambayo haitumiki ipasavyo? Fungeni hiyo website then tuendelee kupata update zenu kwenye ubao wa matangazo. Naona mshakuwa addicted na kutumia notice board. Zama hizi za technology nyie bado mnakomaa na kubandika update ubaoni. Hehehee
2. Wewe ni mwanamke mwenzagu. So wewe pia unapanuliwa mapaja sana hapo mabibo.
3. Inshu sio 'muda wa kujiunga'. Inshu ni watu wawe aware kuhusu selection mapema (within reasonable time) ili sasa wajipange kwa maandalizi ya kipesa, study needs, n.k then waje kujiunga. Unaipata logic hapo? Yaani applicant afahamu mapema kisha apate muda wa kujiandaa na kujipanga.
Ila mpaka sasa hamjatoa selection release officially, vyuo vingine vyote tayari vimeshatoa. Pia Ratiba yenu ya kujoin haifahamiki, wala tarehe ya kuanza masomo haifahamiki. Haijalishi ni lini, ila ratiba iwe open ifahamike tu basi. Kweli kabisa huoni logic hapo?
4. You are right dada. Kweli mie ni dogo tu, ila nina uwezo wa kuwatoa kamasi-jepesi majimama 10 kama wewe kwa mkupuo.
Karibu mkuu.
-Kaveli-