NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

Hua mnapapara sana humu jamvini hususan mwaka wa kwanza utadhani wengine hawakuwahi kupitia system mnayopitia nyinyi,afu wepesiiiiii kulaumuuuu.Vyuoni kuna kazi ngumu sanaaaa,kwa mwaka huu vingi vinajarbu kua makini katka kuweka mambo sawa na kujiridhisha ili kuendana sambamba na serikali,kwa hyo yapaswa mtu ukiwaunatoa maneno yenye ladha chafu yarudie mara mbilimbili.Chuo cha NIT ni roho ya serkal ktk transport,sasa wewe kisa hujaona majina ktk website ya chuo ndo uanze kuleta maneno machafu basi huo ni ukosefu wa adamu na stara,wenzio walijiona wasomi na hakuna wengine zaid yao na mwisho wa siku wanalia mitaani tu hukuu kwa njaa maana no ajira naumezoea kulaumu tu so unakosa wa kumlaumu na hatimae ndo mnakuja kua panya road n nyinyi,wezi na matapeli.kua msomi kijana fatilia mambo kwa mapana acha kwenda kwa mazoea,nenda selection za tcu wao ndo wenye mamlaka wakikuchagua hakuna wa kukurudisha, ukipata chance pia ni vyema ukauliza wanafunzi wenzio pale wakusaidie na si kila siku unajaza thread kwa hayo mambo yako ya ajabu
 
Hua mnapapara sana humu jamvini hususan mwaka wa kwanza utadhani wengine hawakuwahi kupitia system mnayopitia nyinyi,afu wepesiiiiii kulaumuuuu.Vyuoni kuna kazi ngumu sanaaaa,kwa mwaka huu vingi vinajarbu kua makini katka kuweka mambo sawa na kujiridhisha ili kuendana sambamba na serikali,kwa hyo yapaswa mtu ukiwaunatoa maneno yenye ladha chafu yarudie mara mbilimbili.Chuo cha NIT ni roho ya serkal ktk transport,sasa wewe kisa hujaona majina ktk website ya chuo ndo uanze kuleta maneno machafu basi huo ni ukosefu wa adamu na stara,wenzio walijiona wasomi na hakuna wengine zaid yao na mwisho wa siku wanalia mitaani tu hukuu kwa njaa maana no ajira naumezoea kulaumu tu so unakosa wa kumlaumu na hatimae ndo mnakuja kua panya road n nyinyi,wezi na matapeli.kua msomi kijana fatilia mambo kwa mapana acha kwenda kwa mazoea,nenda selection za tcu wao ndo wenye mamlaka wakikuchagua hakuna wa kukurudisha, ukipata chance pia ni vyema ukauliza wanafunzi wenzio pale wakusaidie na si kila siku unajaza thread kwa hayo mambo yako ya ajabu


Bro facilitator, mbona povu sana? haturushi ngumi hapa aisee. hehehee

Na una bwabwaja tu. Unajitetea kwa pumba kabisa.

"...Vyuoni kuna kazi ngumu sanaaaa,kwa mwaka huu vingi vinajarbu kua makini katka kuweka mambo sawa na kujiridhisha ili kuendana sambamba na serikali..."

Vyuo vingine vyote tayari (including vya serikali). Ila nyie NIT bado hamjatoa selection list ya bachelor degree hata 1st round!

Kwahiyo hivyo vyuo vingine vyote wamelipua kazi eeh, ila nyie NIT ndiyo mpo makini saaaana na kazi ili muendane na serikali? hehehee mnajitetea kitoto kabisa.

-Kaveli-
 
Bro facilitator, mbona povu sana? haturushi ngumi hapa aisee. hehehee

Na una bwabwaja tu. Unajitetea kwa pumba kabisa.

"...Vyuoni kuna kazi ngumu sanaaaa,kwa mwaka huu vingi vinajarbu kua makini katka kuweka mambo sawa na kujiridhisha ili kuendana sambamba na serikali..."

Vyuo vingine vyote tayari (including vya serikali). Ila nyie NIT bado hamjatoa selection list ya bachelor degree hata 1st round!

Kwahiyo hivyo vyuo vingine vyote wamelipua kazi eeh, ila nyie NIT ndiyo mpo makini saaaana na kazi ili muendane na serikali? hehehee mnajitetea kitoto kabisa.

-Kaveli-
haya dogo kuna degree ya malalamiko hua vijana wengine ndo maeneo ya kufanya field sasa,kijana unaendelea kuimprove katika ubora wako,muhimu umeelekezwa angalia account yako ya tcu sasa wewe waendelea bwabwaja, kazi kwako sasa
kusuka au kunyoa
 
povu la nini majina yapo kwenye web ya chuo tangu Jana.
 
Back
Top Bottom