NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

Hahaaaa sitaki kuamini Amazon college hii hii iwe na nafuu kuliko NIT


Ndo hivyo Mkuu. Kiutawala na Kiuongozi, hawa NIT ni jipu!

Hebu fikiria kaka, selection release ipo chuoni (sijuwi ndo imebandikwa kwenye notice board) ila wameshindwa kabisa kui-upload kwenye website yao!

Yaani hata vyuo vya kata vina nafuu coz vipo kisasa zaidi, kidigitali, mambo yote kwenye website.

Chuo kikongwe and experienced lakini kinafanya mambo kilocal mno!

Siku hizi ata secondary schools zenyewe zinatumia Website to ease communication.

Wazungu daily wanaumiza vichwa kuadvance technology ili kurahisisha maisha ya wanadamu, na kutopoteza muda unnecessarily.

Sasa hao NIT... website wanayo, ila wanataka watu waende chuoni kuangalia majina kwenye ubao wa matangazo. U-priminitive na uvivu na kutojali. Inaonekana pale kuna very poor Management!

-Kaveli-
 
Hv hawa c ndo best engeneer kuliko wale wa YUDIZIMI asaaah mbona vitu vidogo tu wanazingua wakuu!!!


Hilo la 'academic strength' mie sifahamu Mkuu.

Ila kiutawala na kiuongozi, NIT ni jipu!

-Kaveli-
 
Kila kitu kina ratiba acha maneno mengi tulia kila kitu kitaenda sawa


Fanyeni kazi. Acheni uvivu na kufanya mambo kilocal.

Mnashindwa nini kuweka majina kwenye website? Hiyo I.T department yenu ina watu competent kweli?

Nitulie nini, hujuwi kuwa muda ni mali? Tunaelekea November sasa ila bado mnadelay kurelease majina, sasa mtu anafanyaje maamuzi? anajiandaa muda gani kwa ajili ya kuripoti chuo?

Unataka mie nidandie bus from Uvinza Kigoma to Mabibo DarSlum kuja kuangalia majina ubaoni eeh?

Nyie mpaka mtumbuliwe ndo mtakaa sawa. Bado mnaoperate kimazoea na kizamani sana.

-Kaveli-
 
chuo cha kataaaaaa... aisee hicho chuo kina uchafu kila kona , vimbweta ..... chooni &bafuni . ctajaribu kukitembelea tena. Mnisamehe lakini huo ndo ukweli ingawa unauma!!!!!..


Heeee, kumbe pia ni kichafu??!! duuh

Chuo kina wasomi lakini kina poor hygiene??!! Basi majanga.

-Kaveli-
 
iko chuo michosho sana mi kuna jamaa zangu wanapiga auto hapo wanalalamikia ratiba haifuatwi kuna baadhi ya vipind hawajafundishwa hadi leo yani uzinguzi tu wanavyodai yani sio hao tu wengi wanakisema sasa sijajua tatizo liko wapi utawala au la;


Usemacho ni kweli mkuu. Watu wengi wanakilalamikia sana hiki chuo. Hata humu JF kuna threads kibao zinaelezea ubabaishaji wa NIT.

Kuna very poor Management pale. Chuo kinafanya mambo kilocal sana.

-Kaveli-
 
tcu mbona kila kitu hewani kuna jamaa kaweka link apa jf nimeona nilipochaguliwa
 
nimechaguliwa nit na nimeona jina tcu kupitia link iyo.
 
Hiyo inaitwa kampa kampa tena ujumbe umewafikia
sijakuelewa hapa mkuu, nakumbuka tulifanya interview kwa idara ya ICT oficer, tulikuwa kumi na moja baada ya mchujo wa awali (writen interview), baadae wakaamua kuweka watu wao waliokuwa wanajitolea...

Bado naendelea kukusanya data za kutosha ili nianzishe uzi wenye tuhumu kuhusu hili chaka la hawa watu
 
uongoz ndo unaoludisha nyuma taaluma ya chuo hicho sio competent
kama vyuo vingine
sasa mnapo weka majina ubaon kumbuken kuna watu wanatoka sehemu mbalimbali ktk tz hii wengine wapo nje ya nchi pia utakuta huyo mtu hana ndugu yyte hapa dsm so what's next?
pia idala ya IT ipo vibaya mno tena ipo icu
ukienda wanakwambia chuo kinafunguliwa nov28 wakat hata majina hamna vp hayo maandaliz utayafanyaje?
toeni majina mapema ili watu wajipange hata mkisema chuo mwakan
tena nimeona utawala wao kuna vizeee kibao umri wa kustaafu lakin bado vinapiga mishe
BADILIKEN HICHI CHUO KILITAKIWA KIWE KTK LEVEL YA DIT MAANA NI KIKONGWE HATA COURSE ZAO PIA NI NZUR
 
uongoz ndo unaoludisha nyuma taaluma ya chuo hicho sio competent
kama vyuo vingine
sasa mnapo weka majina ubaon kumbuken kuna watu wanatoka sehemu mbalimbali ktk tz hii wengine wapo nje ya nchi pia utakuta huyo mtu hana ndugu yyte hapa dsm so what's next?
pia idala ya IT ipo vibaya mno tena ipo icu
ukienda wanakwambia chuo kinafunguliwa nov28 wakat hata majina hamna vp hayo maandaliz utayafanyaje?
toeni majina mapema ili watu wajipange hata mkisema chuo mwakan
tena nimeona utawala wao kuna vizeee kibao umri wa kustaafu lakin bado vinapiga mishe
BADILIKEN HICHI CHUO KILITAKIWA KIWE KTK LEVEL YA DIT MAANA NI KIKONGWE HATA COURSE ZAO PIA NI NZUR


Kabisa mkuu. Wabadilike aisee. Hiki chuo ni kikongwe na kina jina kubwa nchini, ila UTAWALA sasa duuuh, kama chuo cha kata vile.

Umeongea kweli kaka, wengi wanasema kuwa UONGOZI ndiyo jipu. Wanakiua hicho chuo.

-Kaveli-
 
pia idala ya IT ipo vibaya mno tena ipo icu

tena nimeona utawala wao kuna vizeee kibao umri wa kustaafu lakin bado vinapiga mishe
BADILIKEN HICHI CHUO KILITAKIWA KIWE KTK LEVEL YA DIT MAANA NI KIKONGWE HATA COURSE ZAO PIA NI NZUR


Mkuu, umenichekesha sana hapo kwenye bold... kwamba IT ipo ICU, na staff imejaa vibabu tupu! 🙂🙂😀😀

-Kaveli-
 
Wahuni tu hao wanatoa engineering diploma ya miaka 2 kwa waliofeli form 6
 
sijakuelewa hapa mkuu, nakumbuka tulifanya interview kwa idara ya ICT oficer, tulikuwa kumi na moja baada ya mchujo wa awali (writen interview), baadae wakaamua kuweka watu wao waliokuwa wanajitolea...

Bado naendelea kukusanya data za kutosha ili nianzishe uzi wenye tuhumu kuhusu hili chaka la hawa watu
Shusha data mkuu,, IT tupo tayari kupiga mzigo wao wanawekana. Inawezekana hao waliowaweka wanajua cable termination tuuu. Director wao wa ICT yupo serious kweli?? Angalia hata saris yao, ipo very weak,matokeo yakitoka ukichelewa kuangalia unakuta mwenzio ameshalog in na amechange password yako, hapo ndipo nilichoka nikamuuliza mhusika chuo chenu kina IT dept kweli??? Ukiangalia form za saris yenyewe ni aibu tupu,nathubutu kusema hiki chuo waajiri wataalamu wapya. Wasilete vigezo vya huruma za kujitolea,wachuje competent people waendeshe idara unless otherwise watumbuliwe
 
sijakuelewa hapa mkuu, nakumbuka tulifanya interview kwa idara ya ICT oficer, tulikuwa kumi na moja baada ya mchujo wa awali (writen interview), baadae wakaamua kuweka watu wao waliokuwa wanajitolea...

Bado naendelea kukusanya data za kutosha ili nianzishe uzi wenye tuhumu kuhusu hili chaka la hawa watu


Kusanya data Mkuu uweke wazi uozo wao.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom