Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipata huu mnyama, ni noma ukiwa nao high way...Fata moto
Njia inayopita vw yko isudhubutu
Ova
Duh! Ulipoteza bahati. Nissan has the best and most reliable cars...Mi nilikua nayachukulia poa sana haya madude kuna moja lilikua la NGo flani walitaka kuniuzia kwa milioni 17 nikachomoa yalikua haya new model kama ya usalama nikajua litanizingua manake safari zangu za mbwinde huwa nataka gari ya kazi
Ulikosea sana hizi gari naziheshimu sana kwakweli naitumia na haijawahi kuniangusha siku ukiipata tena mkuu kamata usiiachie huwezi juta.Mi nilikua nayachukulia poa sana haya madude kuna moja lilikua la NGo flani walitaka kuniuzia kwa milioni 17 nikachomoa yalikua haya new model kama ya usalama nikajua litanizingua manake safari zangu za mbwinde huwa nataka gari ya kazi
Kwa engine ya Petrol, napenda mungurumo wa Suzuki Carry. Mjapan aliyetengeneza ile engine anatakiwa apewe tuzo. Its one of the best engine in its class. Very robust...Sauti za gari ninazopenda
BMW X3 3.0i
LR/RR V8
Cruiser V8
Prado 2013- diesel ule mluzi wa Turbo ni mtamu balaa
Prado kwenye njia ya vumbi, haiwezi shindana na Nissan hata kidogo.Popote Unapita na unafika
Kuna mtu ana prado yke kna njia moja tuliongazna naye mpk unamuonea huruma
Ilibidi ageuze kashindwa endelea
Ova
Ndio nimeona iyo video hapo manake huwa na safari za ifakara ndani ndani huko hadi mrimba chita huko koteDuh! Ulipoteza bahati. Nissan has the best and most reliable cars...
Acha utani mkuuKwa engine ya Petrol, napenda mungurumo wa Suzuki Carry. Mjapan aliyetengeneza ile engine anatakiwa apewe tuzo. Its one of the best engine in its class. Very robust...
Duuh! Kwanini hukuchukua?Mi nilikua nayachukulia poa sana haya madude kuna moja lilikua la NGo flani walitaka kuniuzia kwa milioni 17 nikachomoa yalikua haya new model kama ya usalama nikajua litanizingua manake safari zangu za mbwinde huwa nataka gari ya kazi
Nililichukulia poa zile kelele zake nikajua kwenye tope litazingua tumezoea land cruiser mkuuDuuh! Kwanini hukuchukua?
Yeah! Land Cruiser yupo vizuri ila Nissan ni gari ya kaziNililichukulia poa zile kelele zake nikajua kwenye tope litazingua tumezoea land cruiser mkuu
hizi Nissan injini zake zinaunguruma vizuri...mlio wa kibabe...mlio wa kiume...
Ukipata huu mnyama, ni noma ukiwa nao high way...
Tulitoka Ubungo mida ya saa sita kwenda Arusha, wenzangu walitangulia na huu mnyama, mie nilikuwa na mwingine kwa nyuma.
Basi wao wakawa hawajanielewa uwezo wangu wanaenda taratibu taratibu. Mie nikawa nawaambie ngoja tufike Chalinze niwaoneshe maujuzi.
Basi tulipovuka mzani pale Chalinze hawakuamini walichokiona. Mara mia arobaini, mara mia hamsini... Duh, yani tulitumia kama masaa saba-nane hivi kufika Arusha... Hii chombo ni balaa sana ukiwa highway...
View attachment 1096423
Acha masihara mkuu! Kuna moja niliuza kipindi flani hivi kwa mil 16Bei zake haitishi ukiwa na 8 au 9 unapataa kali tu
Ova
Bado zina bei hizo gari. Hasa ukitaka ambayo ipo vizuriKuna Machimbo ya Nissan
Yawezekana yako ilikuwa imenyooka zaidi ndomana
Ova