RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,764
- 107,976
Kwa usiku naweza kupiga 2hrs flatdah sie wengine wapenzi wa subaru tumeshakuwa machizi juzi nmetoka nayo moro kwenye saa 7 usiku mpka 9;30 nipi nyumbani,mzee alinipa risala zote basi toka juzi nmeipaki nyumbani napanda dala dala maana mzee nilimpigia simu nakuja ndo nmetoka akajua ntafika saa 1 kustuka napiga honi nje kilichofata ni kilioView attachment 1414308
Sent using Jamii Forums mobile app