Nissan Dualis zimepatwa na nini?

Hazihitaji modification yoyote kwenye mfumo wa umeme.......na hapo ndio watu wengi wanaharibu.
Wabongo wanapenda sana maboresho.....utafikiri watengenezaji walikosea
Muhimu: Ikiwa na shida; unatakiwa ufanye Diagnosis sio mafundi mchundo wa mtaani...
 
Habarini za Muda Huu Wana JF
Nissan Dualis Imepatwa na Nini Huko mbona Zinauzwa sana hizi Gari watu hawakai Nazo ..

Hebu tupeni uzoefu wa Mliotumia Hizi Gari, Changamoto zake ni kiasi kwamba mtu hakai nazo au Zinapendwa sana
Kwani Bongo kuna gari gani ya Kijapan haiuzwi? Wabongo kuuza gari ili aongezee anunue ingine ndio kawaida.
 
Ni gari nzuri tatizo hazina wataalam wa kutatua matatizo yake, Kabla hujanunua gari hakikisha kuna mafundi wa uhakika na spea ziwe za kumwaga.

Nipo na Toyota yangu mwaka wa tano huu, gari naenda nayo gereji kwajili ya service kumwaga oili tu, kukiwa na shida hata niwe kijijini nina uhakika wa mafundi na spea.
 
Mkuu hatuwezi kuwa kwenye topic ihusuyo giza af'wewe ukaanza mjadala wa topic ya mwanga!

Mjadala hapa ni Nissan DUALS na si Nissan X-Trail ama Toyota seriles cars hapa.
Imelengwa moja tu ili tuijadili hiyo, mtoa mada ana maana yake.
 
Anaejua In and out ya Benz Class E ile ya kujivua nguo na kubakia empty juu, naomba ABC chache
Unajua nimefikiria ulivosema “ile ya kujivua nguo na kubakia empty juu” nikawa sielewi, nikajua code, kumbe unamaanisha cabriolets aka convertible?

E-Class zake ni expensive, cheki na SLK naonaga cheap.

Unataka mwaka upi exactly?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…