Luca Paguro
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 476
- 1,060
Wakuu mimi ni mkazi wa Lindi nimesoma PCM shule moja uboizini huko Mbeya na nimemaliza mtihani wa taifa siku chache tu zilizopita. Hapa bado nawaza niende JKT au nipumzike home hii miezi kadhaa
Kwa nilivyofanya mtihani najua nitapata Division 1 ya point 6 hadi 8.
Sasa kuna Jambo linanitatiza hususani kwenye hii era ambayo ajira hakuna. Naomba ushauri kwa JF Experts.
Vyuo ninavyotamani kusoma ni
Sasahivi walimu wetu wanatuambia kuwa Biomedical Engineering ina soko ila kama ukipata ufaulu chini ya Division 1 ya 5 hupati chance ya kusoma hiyo kozi
Kwa hiyo huwa nawaza sana nisome kozi ipi ambayo ina nafasi kubwa ya kupata ajira au kujiajiri at least ukilinganisha na kozi nyingine
Watu wengine wanasema Computer Engineering ina soko, hivi ni kweli wakuu au ndo tunaingizana cha kike?
Kozi nyingine ninazowaza ni
Kweli napenda Engineering ila sijui hata ipi inahitajika kwa Bongo ipi haihitajiki. Nimesoma thread nyingine nyingi ila bado sijapata majibu. Kuna muda nawaza niachane na Engineering labda nisome Accounting and Finance au Agricultural Science pale SUA ila nahisi watu wa Accounting ni wengi sana. Ajira zitakuwa ngumu mbeleni (sijui ila ninahisi tu)
Au nisome "Mechanical Engineering" Halafu nikatafute kazi JWTZ maana walisema ni kozi adimu na inahitajika jeshini. Au sijui nisome Automotive Engineering kwenye magari au hata treni nione kama ina tija 🥲
Nikisikia na watu wa mtaani wanavyotutisha kuhusu maisha ya mtaani yalivyo magumu ndo nachanganyikiwa kabisa. Hizo habari zinafanya nakosea hadi raha. Au niende chuo nikasome kwa bidii sana nipate GPA kubwa nione kama naweza kuwa lecturer. Nawaza mengi ila bado Niko njia panda Sana.
Naombeni ushauri wakuu nikasome nini chuo. Kozi yoyote Ile nzuri yenye soko la ajira Tanzania hata kama ni ngumu fresh tu, kupiga msuli naweza maana nina hamu sana na ajira.
Naombeni mawazo yenu wakuu
Kwa nilivyofanya mtihani najua nitapata Division 1 ya point 6 hadi 8.
Sasa kuna Jambo linanitatiza hususani kwenye hii era ambayo ajira hakuna. Naomba ushauri kwa JF Experts.
Vyuo ninavyotamani kusoma ni
- University of Dodoma
- Dar es Salaam Institute of Technology
- National Institute of Transport
- Dar es Salaam Maritime Institute
- Mbeya University of Science and Technology
- Muhimbili University of Health and Allied Sciences
Sasahivi walimu wetu wanatuambia kuwa Biomedical Engineering ina soko ila kama ukipata ufaulu chini ya Division 1 ya 5 hupati chance ya kusoma hiyo kozi
Kwa hiyo huwa nawaza sana nisome kozi ipi ambayo ina nafasi kubwa ya kupata ajira au kujiajiri at least ukilinganisha na kozi nyingine
Watu wengine wanasema Computer Engineering ina soko, hivi ni kweli wakuu au ndo tunaingizana cha kike?
Kozi nyingine ninazowaza ni
- Mechanical Engineering
- Automotive Engineering
- Electrical Engineering
- Chemical Engineering
- Mechatronics Engineering
- Telecommunications Engineering
Kweli napenda Engineering ila sijui hata ipi inahitajika kwa Bongo ipi haihitajiki. Nimesoma thread nyingine nyingi ila bado sijapata majibu. Kuna muda nawaza niachane na Engineering labda nisome Accounting and Finance au Agricultural Science pale SUA ila nahisi watu wa Accounting ni wengi sana. Ajira zitakuwa ngumu mbeleni (sijui ila ninahisi tu)
Au nisome "Mechanical Engineering" Halafu nikatafute kazi JWTZ maana walisema ni kozi adimu na inahitajika jeshini. Au sijui nisome Automotive Engineering kwenye magari au hata treni nione kama ina tija 🥲
Nikisikia na watu wa mtaani wanavyotutisha kuhusu maisha ya mtaani yalivyo magumu ndo nachanganyikiwa kabisa. Hizo habari zinafanya nakosea hadi raha. Au niende chuo nikasome kwa bidii sana nipate GPA kubwa nione kama naweza kuwa lecturer. Nawaza mengi ila bado Niko njia panda Sana.
Naombeni ushauri wakuu nikasome nini chuo. Kozi yoyote Ile nzuri yenye soko la ajira Tanzania hata kama ni ngumu fresh tu, kupiga msuli naweza maana nina hamu sana na ajira.
Naombeni mawazo yenu wakuu