Kwa bunge la vyama vingi kurumbana kwa hoja ni hali ya kawaida lakini kurumbana kwa kurushiana maneno ya matusi, ya mtaani hiyo siyo democrasia ya vyama vyingi ndani ya bunge lakini mimi nazani kuna vitu ambavyo vipo nyuma ya pazia kuhusu mahusiano ya wabunge labda wana chuki zao binafsi ambazo sisi raia hatuzijua kwa sababu mimi sioni sababu ya kumtusi mbunge mwenzio kama hoja ya msingi ipo mezani inajadiliwa tetea hoja yako na sio matusi.