zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
heshima zenu wakuu,
Ni mwaka wa tatu sasa kuna jambo linanisumbua saaana sijui kwanini nashindwa kulisahau...
Nakumbuka nikiwa chuo kuna binti fulani nilikuwa nampendaa mno kupita maelezo! Nilimuaproach na akanikubali..akawa ndo first lover wangu.. hatukupita muda mrefu yapata miezi 4 hv akaanza visa akawa anatafuta sababu mwisho wa siku bila sababu yoyote tukaachana tena kwa ugomvi na akanikashfu na kunipa maneno ya dharau mengi mno ya kutosha!!!!!
iliniuma mno lakini baada ya muda kupita nilitamani saana kuongea naye tu kwa ajili ya kutatua ugomvi japo tumeachana tusijengeane uadui!akakataaa
haikupita miezi 8 nikasikia ana jamaa mwingine pale pale chuo ila amechana nae tena kwa staili ile bila sababu.........
mwaka jana akaolewa.....
tatizo langu ni kwamba huwa namkumbuka sana nakaa nawaza jinsi alivyonifanyia, manake sikutegea wala kufikiria atanifanyia vile wala kunisaliti, nilimuamini mno nikampa moyo wangu 100%.. niliumia mno kupita maelezo manake nilipenda mno...
rafiki zangu, washkaji wakawa wamepata story za kuongea manake wabongo ndo tulivyo...
naomba wanajamvi (MMU), mnisaidie niweze kumsahau na kusahau yote yaliyotokea hata nikikutana nae nichukulie kama sikuwahi kumfahamu b4.. manake huwa tunakutana mara kwa mara...
Ni mwaka wa tatu sasa kuna jambo linanisumbua saaana sijui kwanini nashindwa kulisahau...
Nakumbuka nikiwa chuo kuna binti fulani nilikuwa nampendaa mno kupita maelezo! Nilimuaproach na akanikubali..akawa ndo first lover wangu.. hatukupita muda mrefu yapata miezi 4 hv akaanza visa akawa anatafuta sababu mwisho wa siku bila sababu yoyote tukaachana tena kwa ugomvi na akanikashfu na kunipa maneno ya dharau mengi mno ya kutosha!!!!!
iliniuma mno lakini baada ya muda kupita nilitamani saana kuongea naye tu kwa ajili ya kutatua ugomvi japo tumeachana tusijengeane uadui!akakataaa
haikupita miezi 8 nikasikia ana jamaa mwingine pale pale chuo ila amechana nae tena kwa staili ile bila sababu.........
mwaka jana akaolewa.....
tatizo langu ni kwamba huwa namkumbuka sana nakaa nawaza jinsi alivyonifanyia, manake sikutegea wala kufikiria atanifanyia vile wala kunisaliti, nilimuamini mno nikampa moyo wangu 100%.. niliumia mno kupita maelezo manake nilipenda mno...
rafiki zangu, washkaji wakawa wamepata story za kuongea manake wabongo ndo tulivyo...
naomba wanajamvi (MMU), mnisaidie niweze kumsahau na kusahau yote yaliyotokea hata nikikutana nae nichukulie kama sikuwahi kumfahamu b4.. manake huwa tunakutana mara kwa mara...