Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,020
- 132,760
Ukwee, ni kweli hilo ni pepo la ngono!, pepo ni spirit, kuna good spirits na bad spirits, good spirits zinakuamuru kutenda yaliyo mema na bad spirits zinakushawishi kutenda maovu!. Spirts zote mbili ziko ndani yetu!, hizo ndizo ninazoziita "powers from within!", "will powers" za kufanya kila kitu!. Watu wote tunazo ila wengine hawajui kuwa tunazo!.Pasco hilo ni Pepo. did u ever thought about that?
binadamu wengi jinsi walivyo wakizidisha sana uwezo wa kitu fulani basi anatengeneza upungufu mkubwa upande mwingine,kuwa kwako mahiri sana ktk kuwapata wadada upande wa pili uwezo wako wa kuwa-maintain utakuwa chini sana.....n hilo utakuja kuliona ukianza serious relationship mpaka ndoa.....YOU WILL BE THE BORING KING IN YOUR MARRIAGE......thats the rule....80/20!
Sasa kama unatongozea Buguruni au Corner bar huku pochi limejaa unategemea utawakosa?
s
sijaelewa mkuu unamaanisha nini lakini
binadamu wengi jinsi walivyo wakizidisha sana uwezo wa kitu fulani basi anatengeneza upungufu mkubwa upande mwingine,kuwa kwako mahiri sana ktk kuwapata wadada upande wa pili uwezo wako wa kuwa-maintain utakuwa chini sana.....n hilo utakuja kuliona ukianza serious relationship mpaka ndoa.....YOU WILL BE THE BORING KING IN YOUR MARRIAGE......thats the rule....80/20!
At least hilo si tatizo , ni mafanikioHebu ni shauri kwanza mimi kwani kila dili la fedha nikilipanga ninafanikiwa na kupata mihela kibao, na kila nikilima shamba mazao yanastawi sana bwana masopakyindi ninaomba ushauri kwako tu (sio wana jf wengine) nifanyeje niepukane na tatizo hili?
Ushauri mzuri mkuu.Mkuu Maso, hilo sio tatizo, hizo ni nguvu zilizo ndani yako zinaitwa "psychic powers", nenda kanisome hapa, sychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...
Hebu nitazame mimi mwenzio enzi hizo..
Hivyo matumizi ya nguvu hizi kwa kutongozea tuu ni abuse of powers, shift concentration, zitumie kufanyia mambo makubwa zaidi!, wish kupata kazi nzuri, kulipwa top salary, kujenga bonge la nyumba, kuoa bonge la demu, kuendesha bonge la gari, kuishi top life!, kufanya mambo makubwa kusaidia jamii etc!.
Pasco.[/COLOR]
Asante mkuu kwa ushauri mzuri.Ndugu nataka kukushauri tofauti na wengine, Mimi siliiti hilo kuwa ni tatizo, kama ulivyo sema kuwa unauwezo wa hali ya juu katika ushawishi ( convincing power). Shida ni kuwa unatumia uwezo ulionao katika njia isiyo sahihi. Kwa mfano jaribu kutumia uwezo huo katika biashara kwa kufanya marketing bidhaa fulani, au ni bora ukamtumikia Mungu kisha kutumia nguvu hiyo ya kushawishi ili kuvuta watu wengi kwa Mungu.
Na mimi nataka kukiepuka.Kifo hiko
s
sijaelewa mkuu unamaanisha nini lakini
huwa unatumia kinga wakati unatongoza?