Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Wasalaam, naomba kufahamishwa maeneo mazuri yaliyotulia yenye fursa ya kulima (kidogo) na kufuga katika wilaya zilizo karibu na Mbeya mjini.
Kuhamia ukweni ukiwa na maana ya mkoa walipo wakwe zako au nyumba ya wakwezo?Kwanza kuhamia ukweni ni sahihi?
Sehemu yoyote ya Tanzania hali ya maisha haipishani sana, muhimu uwe na shughuli ya kukuingizia kipatoMaisha ya Mbeya yakoje?
Tatizo la Mbeya, sehemu kubwa ya maeneo karibu na mji watu walishanunua kama una mpango wa kujenga, labda ubahatike upate mtu anauza nyumba.Wapi pazuri pa kuhamishia familia na kuanzisha maisha kwa maana ya utulivu, usalama, huduma za kijamii, bei ya ardhi ubora wake hasa kwa kujenga kilimo na ufugaji n.k
Au nikomae hukuhuku?
Yeye kahitaji maeneo yenye fursa za kulima na kufuga rungwe anaweza kulima viazi, mahindi, maharage na karanga pia rungwe na kyela ni karibu hivyo anaweza kulima mpunga kyela huku anaweza kufuga kuku, ng'ombe na nguruwe.
Kabisa mkuuOyooo,home sweet home, ahamie Rungwe hatojutia vyakula bei rahisi ashindwe yeye tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbozi is THE BEST..Wasalaam, naomba kufahamishwa maeneo mazuri yaliyotulia yenye fursa ya kulima (kidogo) na kufuga katika wilaya zilizo karibu na Mbeya mjini.
Nina ka mil1 Rungwe katanifaa nini mkuu?
M1 kwa ajili ya biashara au kilimoNina ka mil1 Rungwe katanifaa nini mkuu?
Mkuu, ni maziwa kweli ama pombe comoni inaitwa, jeroNjoo uyole maziwa Lita tano jero
I can imagine something.... G momOyooo,home sweet home, ahamie Rungwe hatojutia vyakula bei rahisi ashindwe yeye tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kulima viazi mkuu sema tu soko lake some times halieleweki linabadirika badirika, unaweza ukalima tangawizi siku hizi ni deal sana ila pia unaweza lima mpunga huko kyela rungwe na kyela n karibuKilimo