BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
mabigi
watu wanamegana kiholela hadi shetani analia? yaaani mke wa mjomba wako unathubutu?..na huyo mama alikosa mtu kabisa hadi anatembea na mpwa wa mume?
hivi mliona utamu kabisaaa?
He he he, mie huwa nammaliza hivyo hivyo chukuchuku
Shetani akiisha muingia mtu hapo kwenye red weka tiki kubwa, na ndio maana anasema amekuwa akiendelea hadi house girl akajua na kumueleza sio vizuri, na kama angelikuwa na majuto ya dhati asingekuja kueleza upuuzi wake huo kwenye public kama alivyofanya hapo.
Kama anasoma hizi comment alizopewa humu nadhani anashangaa, kuona ni kwa jinsi gani ziko very negative kwa upande wake jambo ambalo huwenda hakulitegemea.
Fadhira mfadhiri mbuzi, binadamu duh------------
Lucas si unaona alivyo na akili za ajabu, yeye amefanya makosa na hana kazi halafu anataka amuharibieWanajamvi kwa mfano nikimwambia aunt kuhusu sms ya dada huyu binti si atarudishwa kwao na mambo yatakuwa poa? Pia uncle si hajamuo aunt so sikama mademu wengine wa kitaa tuu!
chukuchuku ndo aje? nipe siri maana naona mfadhaiko nilionao nitaanza na mimi kubaka majirani
Kongosho twende pole pole, angalia kwanza
uncle ana mke yuko kijijini toka mweze wa tatu
ni juzi tu hapo
tena soma hapa "............
Utata ulianzia pasaka ambapo uncle alipiga cm kuwa mimi na aunt tukale bata popote ameturuhusu..........."
je hauoni hapo pana baraka zote za mjomba?????
Yaani aunt yako kulia tu, ukamshika hadi akamaliza?? Alimaliza kulia? au sijaelewa maana nina evil mind all the time
Aisee, mahusiano ya jinsia moja sio taboo tena, itabidi yaruhusiwe kujadiliwa tu.
Unatamani kufa kwa kubambwa na hg au utamu?
Naona sasa unazdi kmpotosha hyo kijana!Kongosho twende pole pole, angalia kwanza
uncle ana mke yuko kijijini toka mweze wa tatu
ni juzi tu hapo
tena soma hapa "............
Utata ulianzia pasaka ambapo uncle alipiga cm kuwa mimi na aunt tukale bata popote ameturuhusu..........."
je hauoni hapo pana baraka zote za mjomba?????
watu wanamegana kiholela hadi shetani analia? yaaani mke wa mjomba wako unathubutu?..na huyo mama alikosa mtu kabisa hadi anatembea na mpwa wa mume?
hivi mliona utamu kabisaaa?