Nishakuwa kipusa!

Nishakuwa kipusa!

si ungekufa tu? unaogopa kuliwa kiboga?
 
Yaani aunt yako kulia tu, ukamshika hadi akamaliza?? Alimaliza kulia? au sijaelewa maana nina evil mind all the time

Aisee, mahusiano ya jinsia moja sio taboo tena, itabidi yaruhusiwe kujadiliwa tu.

Unatamani kufa kwa kubambwa na hg au utamu?
Hahahahahahaaaaaaaa
 
Au anko kamwozesha mpwa wake kijanja??

Kongosho twende pole pole, angalia kwanza
uncle ana mke yuko kijijini toka mweze wa tatu
ni juzi tu hapo
tena soma hapa "............
Utata ulianzia pasaka ambapo uncle alipiga cm kuwa mimi na aunt tukale bata popote ameturuhusu..........."
je hauoni hapo pana baraka zote za mjomba?????
 
Kizazi cha nyoka shame on you, Yaani huna hata soni we kijana ndio shukrani zako.
Lbda uncle wako awepoa sana but akijua mnaweza uana ati, kwa ujinga ujinga tu, kwani hakuna wanawake wengine hadi ujisevie aunt yako?

Dhambi ya ngono inawatafuna sana nyie kizazi cha dot com!
 
Habari wa na jf? Wanajamvi hali ya maisha yangu kwa sasa imekuwa tete. Tangu dec 2012 nipo jijini kwa uncle tumbo moja na mama kwa minajili ya kumsaidia katika shughuli zake za biashara na kusubiri kama nitapata ajira ya kueleweka popote pale. Uncle ana aunt tunayeishi nae japo hajamuoa na ukweli ni kwamba uncle anaye mke wa ndoa na yupo mkoani ambapo yupo huko tangu tar 28 march.Utata ulianzia pasaka ambapo uncle alipiga cm kuwa mimi na aunt tukale bata popote ameturuhusu. Kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya tuliamua kwenda bar jirani japo hatukukaa sana tukarudi home kama saa mbili tukiwa wazima. Aunt alinambia anamazungumzo na mimi tukawa tumekaa tunazungumza akawa anamsema vibaya uncle kuwa ni malaya mpaka akawa analia nikajitahidi kumbembeleza mpaka nikajikuta namkumbatia na kumshika shika mpaka mwisho tuka maliza na tukaingia chumbani kwake mpaka asbh sasa imekuwa kila siku nalala nae jana dada wa kazi karudi kutoka kwao Tanga usiku kaniona nimeingia leo kanitumia sms kanambia sio vizuri. Natamani kufa

Yaani mpaka dada wa kazi ameshangaa kitendo ambacho umekifanya jinsi kilivyo kibaya na cha kukosa utu na uungwana! Sijui binadamu mnawaza nini, mtu kakutoa kijijini huna mbele wala nyuma, unaletwa mjini na kutunzwa na mjomba wako. Leo wanawake wamejaa mjini unakwenda kujitumbukiza kutembea na huyo mke wa pili wa mjomba wako, huoni aibu? Huoni kinyaa? Na mbaya zaidi unaenda kutumia chumba chake hicho hicho cha mjomba tena na mshuka na mito yake na kwa mke wake mwenyewe, khaaaa! Huna huruma? Jamani binadamu tunaendea wapi??? Hivi akikukuta na kukuua au kukufanyia michezo ya ajabu utamlaumu nani?

Halafu unataka kujustify makosa kuwa eti ukweli mjomba wako ana mke mkoani, sasa wewe inakuhusu nini? Hiyo ndo justification ya kutembea na huyu aliyenaye sasa? Huoni umemvua nguo uncle wako? Halafu nimeshangaa tena unajiita KIPUSA kwa huu ufirauni? Mambo haya huwa yananikera sana.

Tafadhali Kongosho, mdogo wangu Nivea, Mr Rocky, snowhite, SnowBall, Eiyer, gfsonwin na waengineo njooni mnisaidie najisikia kumchapa viboko huyu dogo!!!
 
Wanajamvi kwa mfano nikimwambia aunt kuhusu sms ya dada huyu binti si atarudishwa kwao na mambo yatakuwa poa? Pia uncle si hajamuo aunt so sikama mademu wengine wa kitaa tuu!

we kama mwanaume unastahili kuliwa ili upate fundisho maana inaonekana unapenda sana kufugwa!!!ingekuwa me ndo anko wako nakutengenezea fumanizi na mabaunsa kama wanne hivi wanakushughulikia safi then nakupa nauli ya kurudi kijijini ukawasimulie wazazi wako mchezo mzima
 
Yaani mpaka dada wa kazi ameshangaa kitendo ambacho umekifanya jinsi kilivyo kibaya na cha kukosa utu na uungwana! Sijui binadamu mnawaza nini, mtu kakutoa kijijini huna mbele wala nyuma, unaletwa mjini na kutunzwa na mjomba wako. Leo wanawake wamejaa mjini unakwenda kujitumbukiza kutembea na huyo mke wa pili wa mjomba wako, huoni aibu? Huoni kinyaa? Na mbaya zaidi unaenda kutumia chumba chake hicho hicho cha mjomba tena na mshuka na mito yake na kwa mke wake mwenyewe, khaaaa! Huna huruma? Jamani binadamu tunaendea wapi??? Hivi akikukuta na kukuua au kukufanyia michezo ya ajabu utamlaumu nani?

Halafu unataka kujustify makosa kuwa eti ukweli mjomba wako ana mke mkoani, sasa wewe inakuhusu nini? Hiyo ndo justification ya kutembea na huyu aliyenaye sasa? Huoni umemvua nguo uncle wako? Halafu nimeshangaa tena unajiita KIPUSA kwa huu ufirauni? Mambo haya huwa yananikera sana.

Tafadhali Kongosho, mdogo wangu Nivea, Mr Rocky, snowhite, SnowBall, Eiyer, gfsonwin na waengineo njooni mnisaidie najisikia kumchapa viboko huyu dogo!!!
hayo majitu ni tunayaita jibwa dume ,umesahau lile la kwangu nalisomesha nalipeleka shule likageuza nyumba guest nakumtia msichana wangu wa kazi mimba !!!!!!umesahau nyumba yangu anatia najisi hahahaahah acha tu napataga hasira namsubiritu yule dada ajifungue nimfungashie virago aondoke lol hasira sana hilo lingine linakula mke wa baba yake sawa na mama yake lol???
 
Wanajamvi kwa mfano nikimwambia aunt kuhusu sms ya dada huyu binti si atarudishwa kwao na mambo yatakuwa poa? Pia uncle si hajamuo aunt so sikama mademu wengine wa kitaa tuu!
i realy dought about your personality mkuu mimi mada hizi siingiagi ni kwasababu tu nimeitwa na HorsePower form four umefeli unakuja leta ujinga wajko humu.alafu Baba V unathubutu kumpa like mtu ameandika huu upuuzi i realy dought about your personality too
 
Last edited by a moderator:
Hapo awali ulipojiita "kipusa" basi nilidhani wewe u mwanamke kijinsia, lakini kwa maneno yako haya hapa chini ndio nafumbuka macho na kujua wewe u mwanaume....
Ni hivi bwana mdogo, mshahara wa dhambi ni mauti...haijalishi unazini na mzinifu au mtakatifu

Wanajamvi kwa mfano nikimwambia aunt kuhusu sms ya dada huyu binti si atarudishwa kwao na mambo yatakuwa poa? Pia uncle si hajamuo aunt so sikama mademu wengine wa kitaa tuu!
 
watu wanamegana kiholela hadi shetani analia? yaaani mke wa mjomba wako unathubutu?..na huyo mama alikosa mtu kabisa hadi anatembea na mpwa wa mume?
hivi mliona utamu kabisaaa?
 
hayo majitu ni tunayaita jibwa dume ,umesahau lile la kwangu nalisomesha nalipeleka shule likageuza nyumba guest nakumtia msichana wangu wa kazi mimba !!!!!!umesahau nyumba yangu anatia najisi hahahaahah acha tu napataga hasira namsubiritu yule dada ajifungue nimfungashie virago aondoke lol hasira sana hilo lingine linakula mke wa baba yake sawa na mama yake lol???
whaaat? yaani nivea na ujanja wako ulikuwa unalisha dume? hiyo ada si ungemlipia mtoto yoyote yatima upate thawabu kwa Mungu jamani? unachop chop money kwa dent wa kiume? duuh pole aisee!
 
Hapo awali ulipojiita "kipusa" basi nilidhani wewe u mwanamke kijinsia, lakini kwa maneno yako haya hapa chini ndio nafumbuka macho na kujua wewe u mwanaume....
Ni hivi bwana mdogo, mshahara wa dhambi ni mauti...haijalishi unazini na mzinifu au mtakatifu
kuelekea 2015 tutaona mengi
 
hata huyo mke wa mjomba nae ana makosa? yaani anajifunua funua hadi kwa wapwa za mumewe? marafiki watasalimika? je kazini ...huyu mama nae hafai hata kwa mchuzi meen! k ipo juu juu kaka m...ndu wa nyani?
Yaani mpaka dada wa kazi ameshangaa kitendo ambacho umekifanya jinsi kilivyo kibaya na cha kukosa utu na uungwana! Sijui binadamu mnawaza nini, mtu kakutoa kijijini huna mbele wala nyuma, unaletwa mjini na kutunzwa na mjomba wako. Leo wanawake wamejaa mjini unakwenda kujitumbukiza kutembea na huyo mke wa pili wa mjomba wako, huoni aibu? Huoni kinyaa? Na mbaya zaidi unaenda kutumia chumba chake hicho hicho cha mjomba tena na mshuka na mito yake na kwa mke wake mwenyewe, khaaaa! Huna huruma? Jamani binadamu tunaendea wapi??? Hivi akikukuta na kukuua au kukufanyia michezo ya ajabu utamlaumu nani?

Halafu unataka kujustify makosa kuwa eti ukweli mjomba wako ana mke mkoani, sasa wewe inakuhusu nini? Hiyo ndo justification ya kutembea na huyu aliyenaye sasa? Huoni umemvua nguo uncle wako? Halafu nimeshangaa tena unajiita KIPUSA kwa huu ufirauni? Mambo haya huwa yananikera sana.

Tafadhali Kongosho, mdogo wangu Nivea, Mr Rocky, snowhite, SnowBall, Eiyer, gfsonwin na waengineo njooni mnisaidie najisikia kumchapa viboko huyu dogo!!!
 
Daaa hakika trust no one! Naona umeamua kula chakula cha mjomba, mbaya zaidi ni lazima ajue hata kama itapita miaka mitatu kwa hiyo kaa tayari!
 
He he he, mie huwa nammaliza hivyo hivyo chukuchuku

teh na wewe utaunga tela muda si mrefu..nimekumisije my dear! hivi m zombi hakubembelezagi hadi mkamaliza?
 
Back
Top Bottom