Niseme na mabinti leo

Niseme na mabinti leo

Mungu alifahamu maisha ya mwanadamu toka tumboni kwake ndo maana kuna mabinti wenye kila kigezo wana deserve kuolewa wasiolewe. Wengine tulikua machachari enzi hizo Mungu katujalia ndoa tulikua na marafiki walioona mziki au nguo fupi ni dhambi leo wapo wamekua desperate. So cha muhimu ni kumshukuru Mungu kukupa uhai na afya
 
Yote ulosema , Nimaelezo ,kwakweli umetoa maelezo ambayo Nawataman waolewaji wote wawe ivo.

Watu niwabishi sana ,, ila Mimi nikiwa mmoja Wa waoji naomba Mbingu zinikutanishe na mwanamke Uliyemuelezea hapo !!!.

Unataka kuolewa alafu kila Siku unashinda bars ??? Club ?? Kweli ?? Unataka kuolewa alafu hujajianda kuolewa ????....

Elvee Asante Mama ,kwa kuwakumbusha.
 
Yote ulosema , Nimaelezo ,kwakweli umetoa maelezo ambayo Nawataman waolewaji wote wawe ivo.

Watu niwabishi sana ,, ila Mimi nikiwa mmoja Wa waoji naomba Mbingu zinikutanishe na mwanamke Uliyemuelezea hapo !!!.

Unataka kuolewa alafu kila Siku unashinda bars ??? Club ?? Kweli ?? Unataka kuolewa alafu hujajianda kuolewa ????....

Elvee Asante Mama ,kwa kuwakumbusha.
Asante kwa kushukuru mkuu
 
Back
Top Bottom