gabylovestech
Member
- Jul 13, 2025
- 20
- 50
So kila siku nimekua nikipata zile “bro unajua sana” nakukubali sana , bro unajua blah blah…
Lakini ukweli ni kwamba it takes a lot kuwa consistent kushare #MadiniYaGaby.Na si mimi tu — hii story ni ya kila creator anayejaribu kusukuma content consistently.
Wazungu kwenye YouTube na socials wana kitu wanaita “Buy me a coffee.”
Yaani ukipost kitu cha maana, kina Value, unapata Tip toka kwa audience yako.
Kama vile unavyotoa Tip kwa Bar au kwa dereva wa Bolt. Ama mpenzi wako😅
Sasa nikasema, mbona sisi pia hatuwezi kuwa na yetu?
So I sat down with my team, tukaCREATE kitu special kwa African creators.
Introducing: nisapoti.com
A simple, clean, and local platform ya ku…
- Receive tips from your audience
- Support fellow creators
- Withdraw instantly via mobile money
Nisapoti ni njia yako mpya ya ku-monetize gratitude ya audience yako.
Unapost, wanaona Value, wanakutumia asante kwa nisapoti.com
Sign up takes less than 1 minute.
Link ya profile unashare kwa bio zako zote.
Siku ya kufungua account yako ni leo:
