Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
TaratibuJKT sio sehemu ya ajira
Hapo mwanzo niliona kuwa uongozi wa JKT umefanya jambo la busara ila badae nimekaa nikafikiria nikaona nimekosea.
Naombeni mnisamehe....hawa vijana wanaditahili kusamehewa.
Haiwezekani wapambane miaka mpaka 4 halafu linapokuja suala la ajira...wanapachikwa watoto wa vigogo jeshini. This is unfair, this is not right...
Nimeumia sana baada ya kusimuliwa na kijana mmoja aliyeshiriki kuandamana.
Yaani mtu ajapiga kozi hajalala nje, hajashiriki ujenzi wowote anafikia ajira. This is unfair....
Mama Samia tunakipima katika hili....hawa vijana wasamehewe na waajiriwe haraka!
JKT sio sehemu ya ajira
Anatoa judgement kabla ya kusikiliza issue nzima pande zote, sio hao tu waliofukuzwa kuna wengine pia walitoka kwenye ujenzi kama huo wakaambiwa unfit vifua vyao vimeharibiwa na cement na vumbi hawataweza kumudu mafunzo kumbe ni janja yao.Si unajitoag tu ufahamu wewe
Ni sehemu ya ajira aise maana vijana wa vyombo karibu vyote vya ulinzi wanachukuliwa huko na wengi tulienda kwa lengo la kupatia ajira huko ila kuanzia 2015 mambo yakaaawa mbaaali mbaaaali.JKT sio sehemu ya ajira
Hao waliahidiwa ajira na JPM na JPM anajua kwamba ajira za jeshi/ulinzi ni idadi gani na ndio maana akasema waajiriwe moja kwa moja ,alivyofariki ndio hao WABABE wakatumia loophole kuwapiga chini waajiri ndugu zao na wapige pesa za connections za wengine.
Sio 2015 ni 2012 sisi waliorudi sii kwamba walikosa hapana ni kuwa C.O wa ile kambi kuna op mpya ilikuwa imeshaanza kuingia wakati huo vijana wakaitajika wakafanye usahili wa jw mafinga tena bila kuchagua elimu huwezi amini c.o alipeleka vijana wapya kama 100 hivi ambao hata intro ilikuwa bado kabisa ikabidi wale wakongwe wabaniwe hadi mkataba ukafika ndio hivyo tena wakarudi uraiani.Ni sehemu ya ajira aise maana vijana wa vyombo karibu vyote vya ulinzi wanachukuliwa huko na wengi tulienda kwa lengo la kupatia ajira huko ila kuanzia 2015 mambo yakaaawa mbaaali mbaaaali.
Kiukweli inaumiza sana. Wafanyakazi wa Mining comission, Hayati Raisi John Magufuli alipotoa agizo watu wapunguziwe mishahara lilifanyika faster faster within two days watu wameshapunguziwa Salary scale zao. Lakini hili la kuajiriwa hawa vijana limechukua miezi kwa miezi.Hapo mwanzo niliona kuwa uongozi wa JKT umefanya jambo la busara ila badae nimekaa nikafikiria nikaona nimekosea.
Naombeni mnisamehe....hawa vijana wanaditahili kusamehewa.
Haiwezekani wapambane miaka mpaka 4 halafu linapokuja suala la ajira...wanapachikwa watoto wa vigogo jeshini. This is unfair, this is not right...
Nimeumia sana baada ya kusimuliwa na kijana mmoja aliyeshiriki kuandamana.
Yaani mtu ajapiga kozi hajalala nje, hajashiriki ujenzi wowote anafikia ajira. This is unfair....
Mama Samia tunakipima katika hili....hawa vijana wasamehewe na waajiriwe haraka!
Ouh japo kwa upande wangu na rafiki zangu nyuma ya 2015 wengi walipata police, magereza na kwingineko ila baada ya 2015 janga likawa kubwa zaidi.Sio 2015 ni 2012 sisi waliorudi sii kwamba walikosa hapana ni kuwa C.O wa ile kambi kuna op mpya ilikuwa imeshaanza kuingia wakati huo vijana wakaitajika wakafanye usahili wa jw mafinga tena bila kuchagua elimu huwezi amini c.o alipeleka vijana wapya kama 100 hivi ambao hata intro ilikuwa bado kabisa ikabidi wale wakongwe wabaniwe hadi mkataba ukafika ndio hivyo tena wakarudi uraiani.
MaguNani aliwambia jkt wanatoa ajira!
Kama waliambiwa zile zilikuwa maneno
Ya wanasiasa
Ova