Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Hapo mwanzo niliona kuwa uongozi wa JKT umefanya jambo la busara ila badae nimekaa nikafikiria nikaona nimekosea.
Naombeni mnisamehe....hawa vijana wanaditahili kusamehewa.
Haiwezekani wapambane miaka mpaka 4 halafu linapokuja suala la ajira...wanapachikwa watoto wa vigogo jeshini. This is unfair, this is not right...
Nimeumia sana baada ya kusimuliwa na kijana mmoja aliyeshiriki kuandamana.
Yaani mtu ajapiga kozi hajalala nje, hajashiriki ujenzi wowote anafikia ajira. This is unfair....
Mama Samia tunakipima katika hili....hawa vijana wasamehewe na waajiriwe haraka!
Naombeni mnisamehe....hawa vijana wanaditahili kusamehewa.
Haiwezekani wapambane miaka mpaka 4 halafu linapokuja suala la ajira...wanapachikwa watoto wa vigogo jeshini. This is unfair, this is not right...
Nimeumia sana baada ya kusimuliwa na kijana mmoja aliyeshiriki kuandamana.
Yaani mtu ajapiga kozi hajalala nje, hajashiriki ujenzi wowote anafikia ajira. This is unfair....
Mama Samia tunakipima katika hili....hawa vijana wasamehewe na waajiriwe haraka!