Nisameheni

Lead me not to temptation,I can find it myself!!!
 
hebu fatilia B,,,, kuna mtu anajifanya championi wa kuedit apo., Mi akija CM akamblast simo! ataka kuvaa viatu vya wakubwa
daktari wangu unayefanya upasuaji bila kuacha makovu,huna haja ya kuwa na presure,si unaona editor mwenyewe yuko ki msimu zaidi!
 
hiyo roho yako wangeitolea wapi mamii?? kwa kutoboa avatar yako au??

mi nadhani ni busara kuishi vile upendavyo na si vile walimwengu watakvyo
mwisho wa siku utajilazimisha kurukia usipofikia ikawa tabu

(hapa ni dada to dada talk Cheusi)

nimekupata my lovely sis!thanx
unajua mi na-hang sana na wapwaz siku hizi,wakienda mkuranga huwa hawaniachi,hata kwenye macounter yao nawasindikizaga,muulize nanihii
 
daktari wangu unayefanya upasuaji bila kuacha makovu,huna haja ya kuwa na presure,si unaona editor mwenyewe yuko ki msimu zaidi!

CM, wala hanipi pressure uyo,

@bht,vipi B siku hizi unaingia sana ndani aka deep eeh
 
CM, wala hanipi pressure uyo,

@bht,vipi B siku hizi unaingia sana ndani aka deep eeh

B ujue tabia yako ya kutochukua manano kama yalivyoandikwa ndo imenifikisha hapo.....
 
hahahahaha B wewe yani umenibadilishia kibao?



lol nimeona ndo namjibu apa chini



mkulu bht na CM hawawezi kudhuriana banaπŸ˜€

ashe naleee, ashee B sana tu......
 
cheusimangara
@ thanx kwa kile kitu eti ee dada halisi wa Kitanzania
talk to u kesho mpendwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…