peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,029
- 26,235
DOKEZO - NIDA wanatoa vitambulisho kwa madereva wa kigeni kwa lengo la kuwasadia wapate pasipoti za Tanzania; kitambulisho kimoja kinalipiwa hadi milioni moja
Nasimama na maofisa wa NIDA waliopo katika maeneo mengi nchini. Madereva na wasaidizi wao wanaofanya safari kwenda nje ya nchi kupeleka mizigo wanapewa vitambulisho vya Tanzania na baadaye zile pasipoti za muda mfupi. Vitambulisho hivi vinatolewa zaidi kwa wageni waliopo DAR es salaam...