Nisaidieni wana jf

ADK

JF-Expert Member
Jan 13, 2012
2,191
804
Mwenzenu kila nikikojoa njia ya mkojo huwa inaniuma sana je?nitumie dawa gani?
 
Kapime kwanza ujue unaumwa nini alafu ndio utafute dawa ya huo ugonjwa.
 
Mwenzenu kila nikikojoa njia ya mkojo huwa inaniuma sana je?nitumie dawa gani?

linaweza lisiwe tatizo la kiganga, jaribu kuongeza kasi ya unywaji wa maji, halafu uangalie matokeo yake.
 
Go see a doctor. . . kuna matatizo kadhaa yanayoweza kusababisha hiyo hali, na usipende kumeza meza dawa hovyo bila kujua chimbuko la tatizo ulilo nalo.
 
Go see a doctor. . . kuna matatizo kadhaa yanayoweza kusababisha hiyo hali, na usipende kumeza meza dawa hovyo bila kujua chimbuko la tatizo ulilo nalo.

yeah!
Mwili ukizoea sana madawa nayo si nzuri sana...
 
Back
Top Bottom