Hzo ni habari njema kwa tanesco wa2 kama nyie mnahtajka sana,ili at least kuongeza megwatt hata 2 za umeme kwan songosongo pekee haitoshi! Waambie na wengne, SOLUTION! Nenda kituo cha tanesco kilcho karibu nawe!
<br /><br />niko na wiki ya 28 ya ujauzito but tumbo linajaa gesi nisaidieni nifanye nini wataalamu,<br /><br />
asanteni
<br /><br />
<br /><br />
Usiwe unakula huku unakunywa maji @ the same time! Kunywa maji nusu saa kabla na/au baada ya kula!
Kwanza hongera sana mama kwa uzito! kumbuka hali hiyo sio ya kawaida na vitu ulikua unakula bila consequence yoyote vinaweza kuleta tabu kidogo.niko na wiki ya 28 ya ujauzito but tumbo linajaa gesi nisaidieni nifanye nini wataalamu,
asanteni
<br />Hzo ni habari njema kwa tanesco wa2 kama nyie mnahtajka sana,ili at least kuongeza megwatt hata 2 za umeme kwan songosongo pekee haitoshi! Waambie na wengne, SOLUTION! Nenda kituo cha tanesco kilcho karibu nawe!