Nina tatizo la kujaa gesi na kukosa choo

Nickson Swai

JF-Expert Member
Sep 5, 2018
548
475
Habari zenu mimi nilikuwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na kukosa choo.

Nilifanyiwa upasuaji (operation) hospitali ya Mloganzila mara mbili mwezi wa 5 na mwezi wa 7 mwaka 2021 sasa, nimekuja kwenu tatizo hilo naona kama linarudi yaan nikila mchana tumbo linajaa gesi na hamu ya kula usiku nnakuwa sina nimetumia vidonge vya kupunguza gesi lakini pia choo nachopata kinakuwa cha mvurugo (kuharisha)sio kile choo cha kawaida still bado tatizo lipo.

Naombeni msaada ni hilo tu.
 
Habari zenu mimi nilikuwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na kukosa choo.

Nilifanyiwa upasuaji (operation) hospitali ya Mloganzila mara mbili mwezi wa 5 na mwezi wa 7 mwaka 2021 sasa, nimekuja kwenu tatizo hilo naona kama linarudi yaan nikila mchana tumbo linajaa gesi na hamu ya kula usiku nnakuwa sina nimetumia vidonge vya kupunguza gesi lakini pia choo nachopata kinakuwa cha mvurugo (kuharisha)sio kile choo cha kawaida still bado tatizo lipo.

Naombeni msaada ni hilo tu.
Pole sana mkuu ebu jarbu kuepuka kula vyakula vyenye tindokali nying ,alafu tumia mafuta ya nyonyo unameza kijiko kimoja na nusu lakn utumie ukiwa nyumbani maana utaharisha kimtindo alfu utulie kama tatzo litajirdia unaweza tumia tena baada ya sku 4 hivi
 
Habari zenu mimi nilikuwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na kukosa choo.

Nilifanyiwa upasuaji (operation) hospitali ya Mloganzila mara mbili mwezi wa 5 na mwezi wa 7 mwaka 2021 sasa, nimekuja kwenu tatizo hilo naona kama linarudi yaan nikila mchana tumbo linajaa gesi na hamu ya kula usiku nnakuwa sina nimetumia vidonge vya kupunguza gesi lakini pia choo nachopata kinakuwa cha mvurugo (kuharisha)sio kile choo cha kawaida still bado tatizo lipo.

Naombeni msaada ni hilo tu.
Pole kwa kuumwa.
Binafsi naliona suala hili kuwa linahitaji kupata maelezo ya kutosha. Mfano: kufanyiwa operation mara mbili ndani ya mwiezi miwili, hii inaweza kuwa ni zaidi ya gesi.

1: Daktari alikueleza ni kwa nini ulikuwa unakosa choo?
2: Kwa nini ilifikia kufanyiwa operation?
3: Daktari alikueleza sababu hiyo ni ya muda tu na itaondoka?
4: Daktari alikueleza uzingatie nini ili kuondokana na tatizo husika?

NB: Ni vyema kupata haya majibu kwa daktari kwani inawezekana wakati wa tiba hukuwa kwenye nafasi ya kufuatilia. Pata mazungumzo na daktari kwani ndiye aliyeona hali halisi tumboni kwako pia. Baada ya hapo unaweza kupata pa kuanzia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom