Nisaidieni nina roho ya kukataliwa

Nisaidieni nina roho ya kukataliwa

nyambogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
283
Reaction score
111
Habari wanajamvi

Mimi ni mwanamke nina miaka 2, ni mpole, mkimya sio muongeaji sana.

Toka nikiwa o-level kila mtu ninayeishi naye lazima tununiane bila sababu ya msingi, nimeshawahi wauliza baadhi ya niliowahi kuishi nao kwa nini inatokea hivyo, wakadai mimi ndio chanzo cha kununa na wakati mimi najiona sina tatizo wao ndio wenye matatizo.

Nimekuwa nikijitahidi sana hii hali isitokee lakini bado inajirudia nifanyaje?

Maana huwa inanikosesha amani naweza maliza hata mwezi bila kuongea na mtu ninayeishi naye akijua mi ndo nimenuna na mimi kwenye mawazo yangu najua yeye ndo kaninunia.

Sasa hivi naishi na mke mwenzangu hatuongei hii wiki ya pili sasa kila mtu anafanya mambo kivyake.

Naombeni ushauri wenu tafadhali.
 
Kwa kuwa umeshajibaini kuwa una ghubu suala ni kuacha ghubu. Umesema "...lkn mimi naona tatizo ni WAO..." sasa km leo umebaini kuwa wao ni wengi basi hilo ni tatizo laki.

Usipende kuwa juu, mshindi wa mahusiano ni yule anayeyanusuru yakaendelea na sio aliyeshinda ubishi wa nani kakosea
 
habari wanajamvi! Mimi ni KE nina miaka 27, ni mpole, mkimya sio muongeaji sana. Toka nikiwa o-level kila mtu ninayeishi naye lazima tununiane bila sababu ya msingi, nimeshawahi wauliza baadhi ya niliowahi kuishi nao kwa nini inatokea hivyo, wakadai mimi ndio chanzo cha kununa na wakati mimi najiona sina tatizo wao ndio wenye matatizo. nimekuwa nikijitahidi sana hii hali isitokee lakini bado inajirudia nifanyaje? maana huwa inanikosesha amani naweza maliza hata mwezi bila kuongea na mtu ninayeishi naye akijua mi ndo nimenuna na mimi kwenye mawazo yangu najua yeye ndo kaninunia. Sasa hivi naishi na KE mwenzangu hatuongei hii wiki ya pili sasa kila mtu anafanya mambo kivyake..... naombeni ushauri wenu tafadhali.[/QUOTE

TATIZO LAKO NI DOGO SANA.......THE POWER OF INSIGHT.ni pm
 
habari wanajamvi! Mimi ni KE nina miaka 27, ni mpole, mkimya sio muongeaji sana. Toka nikiwa o-level kila mtu ninayeishi naye lazima tununiane bila sababu ya msingi, nimeshawahi wauliza baadhi ya niliowahi kuishi nao kwa nini inatokea hivyo, wakadai mimi ndio chanzo cha kununa na wakati mimi najiona sina tatizo wao ndio wenye matatizo. nimekuwa nikijitahidi sana hii hali isitokee lakini bado inajirudia nifanyaje? maana huwa inanikosesha amani naweza maliza hata mwezi bila kuongea na mtu ninayeishi naye akijua mi ndo nimenuna na mimi kwenye mawazo yangu najua yeye ndo kaninunia. Sasa hivi naishi na KE mwenzangu hatuongei hii wiki ya pili sasa kila mtu anafanya mambo kivyake..... naombeni ushauri wenu tafadhali.

TATIZO LAKO NI DOGO SANA.......THE POWER OF INSIGHT.ni pm
 
bnyanya
Kweli ni jibe very rude. Kama huna msaada ni bora acha kujibu. Mwenzi amekuja hapa ana tatizo ambalo kisaikolojia ni lazima litakuwa linamuumiza sana halafu unatoa kashfa. Kila binadamu anakuwa na mapitio ya maisha.
 
Last edited by a moderator:
utakua umevishwa SURA YA KUKATALIWA NA YULE JOKA ALIYEMUASI MUNGU AKATUPWA DUNIANI AU NYOTA YAKO ITAKUA IMECHUKULIWA JARIBU KUHUDHURIA KWENYE KANISA LA WOKOVU TATIZO LAKO LITAISHA...KARIBU NYUMBA YA UFUFUO NA UZIMA KAWE TANGANYIKA PAKERS HAKIKA UTAMWONA BWANA YESU..
 
TATIZO LAKO NI DOGO SANA.......THE POWER OF INSIGHT.ni pm

Mkuu nzalendo tunaomba utusaidie kuweka healing dose hapa wazi maana najua itasaidia wengi sana mkuu wangu. Hata mimi nina ndugu yangu wakiume kila wakati yeye ni kukosana na watu tu hata kama walishibana kiasi gani lakini inatokea tu wanaachana tena kwa kishindo. Imekuwa ikimpa tabu sana mdogo wangu huyu. Please, saidia kwa uwazi kama afanyavyo Dr. wetu asiye na uchoyo MziziMkavu.
 
utakua umevishwa SURA YA KUKATALIWA NA YULE JOKA ALIYEMUASI MUNGU AKATUPWA DUNIANI AU NYOTA YAKO ITAKUA IMECHUKULIWA JARIBU KUHUDHURIA KWENYE KANISA LA WOKOVU TATIZO LAKO LITAISHA

Amen, umetoa msaada kabisa. Hata mimi naungana naye, kujaribu si ujinga. Aende kanila la kiroho akaombewe. Kuna roho zinatesa sana watu za kutupiwa pia.
 
habari wanajamvi! Mimi ni KE nina miaka 27, ni mpole, mkimya sio muongeaji sana. Toka nikiwa o-level kila mtu ninayeishi naye lazima tununiane bila sababu ya msingi, nimeshawahi wauliza baadhi ya niliowahi kuishi nao kwa nini inatokea hivyo, wakadai mimi ndio chanzo cha kununa na wakati mimi najiona sina tatizo wao ndio wenye matatizo. nimekuwa nikijitahidi sana hii hali isitokee lakini bado inajirudia nifanyaje? maana huwa inanikosesha amani naweza maliza hata mwezi bila kuongea na mtu ninayeishi naye akijua mi ndo nimenuna na mimi kwenye mawazo yangu najua yeye ndo kaninunia. Sasa hivi naishi na KE mwenzangu hatuongei hii wiki ya pili sasa kila mtu anafanya mambo kivyake..... naombeni ushauri wenu tafadhali.
Nyambogo pole sana mdogo wangu. Kwa ushauri anza kwanza na kupata huduma toka kwa makanisa ya kiroho yanaombea. Hata kama wewe ni wa imani nyingine but nina imani wao hawana mipaka wanaombea tu ili pia ipate kuwa ni ushuhuda kwa watu wengine. Ukimaliza suala la kuombea basi jaribu kupata counselor, tatizo pia Tanzania hatuna Rehab centres ungekuta tatizo lako pia lingeshashughulikiwa kisaaikolojia. Tambua kuwa kuna roho chafu zinapita za kutupiwa au kuvamia ambazo zinabeba kuchukukiwa na kukataliwa. Nimegundua pia ni tatizo kwa baadhi ya watu.
 
kwa nini aku pm au unataka kumtongoza..,dada usim pm mtu akitaka aweke hadharani hapa kama huamini pm uone usumbufu atakaokupa

kwani akimtongoza kuna ubaya,si ndio mwanzo wa kumchangamsha na kumuondolea stress zinazomfanya anune nune,kuna watu wana bahati duniani,akiongea na wewe tu matatizo yako yoote yanaisha.
 
principle make sure u smile when you face people kama mimi... am always happy usiwe na hisia negative kwa mtu mpaka akutamkie kwamba umenikwaza alafu si lazima kununiana unaweza ombamsamaha yaishe na uendeleee na story kama kawaida as if nothing happen their utaishi kwa amani
 
mahisi nalielewa tatizo lako sana ,nimewahi kulipitia ,ni fellings za self rejection,yaani kuna hali fulani wewe kujikataa kabla ya hao unaohisi wanakukataa,tutafutane PM tuone tutasaidianaje,kwa kuanza jaribu kuwa mtu mwneye kujiamini na mwenye kujali wengine,uamini kama unakubalika na ujiamini hivyo na wengine watapata sababu ya kukuamini.
 
habari wanajamvi! Mimi ni KE nina miaka 27, ni mpole, mkimya sio muongeaji sana. Toka nikiwa o-level kila mtu ninayeishi naye lazima tununiane bila sababu ya msingi, nimeshawahi wauliza baadhi ya niliowahi kuishi nao kwa nini inatokea hivyo, wakadai mimi ndio chanzo cha kununa na wakati mimi najiona sina tatizo wao ndio wenye matatizo. nimekuwa nikijitahidi sana hii hali isitokee lakini bado inajirudia nifanyaje? maana huwa inanikosesha amani naweza maliza hata mwezi bila kuongea na mtu ninayeishi naye akijua mi ndo nimenuna na mimi kwenye mawazo yangu najua yeye ndo kaninunia. Sasa hivi naishi na KE mwenzangu hatuongei hii wiki ya pili sasa kila mtu anafanya mambo kivyake..... naombeni ushauri wenu tafadhali.

we ndo kama mie yani utafikiri ulikuwa unani describe mm jamani, Ila tu watu hawatuelewi na sisi tunashindwa kuwaelewa wao basi inakuwa tatizo, mwenzio nimeshajizoelea
 
we ndo kama mie yani utafikiri ulikuwa unani describe mm jamani, Ila tu watu hawatuelewi na sisi tunashindwa kuwaelewa wao basi inakuwa tatizo, mwenzio nimeshajizoelea

kwanza siyo hali yakuzoea ni lazima ujifunze to feel your self that your lovely and make sure u feel that love inside you... ukijiona hivyo na ukapenda uwe hivyo hutapenda kujiona huna raha una furaha na watu.... jua not all people watakukubali lazima watatokea wa kukuchukia tu na isiwe sababu ya wewe kuwachukia pia.... expose your self to people in a lovely way utaona mabadiliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom