ADAM MILLINGA
Senior Member
- Apr 27, 2011
- 117
- 13
Habari wana jf mimi naishi manzese nataka sana kufatilia vikao vya vijana bavicha na zaidi kujitolea kwa cdm lakin sijui kuna taratibu gani plz nisaidieni nifanyaje kwan hapa mtaani kwetu kipo chama cha mafisadi tu ivyo naitaji kuwa mwanachama hai mwenye card mimi na familia yangu nitashukuru iwapo mtanipa ushirikiano asanteni