King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Hivi akikuambia anakupenda, na moyoni unajua ni kwa sababu umemlisha madawa hajielewi mbele ni wapi na nyuma ni wapi! Still bado utafurahia na unajua una remote? Haina tofauti na kumsemelea mume kwa wazazi, na anaendelea kuishi na wewe kwa sababu tu anahofia laana ya wazazi.
talk of artificial sweeteners!
talk of artificial sweeteners!