Nisaidieni nampenda sana

Nisaidieni nampenda sana

dada mai, pole kwa matatizo,

labda mimba yako haijampenda ndo maana hakupendi.. hebu tulizana kwanza ujifungue...

waganga watatishia kukupoteza tu maimatha, hawa ni ma-agent wa shetani tu, nothing good from them can be obtained...

Just follow Jesus my dear.

Jiandae kwanza kulea baraka iliyoko tumboni mwako, ukimwendekeza huyo kwa kipindi hiki, hiyo mimba inaweza kutoka na ukapoteza maisha vile vile...

kaza moyo...
 
Last edited by a moderator:
Na hili liwe funzo kwa dada zangu na wengine wenye tabia kama yako!

wanawake huwa hawajifunzi hata siku moja mkuu!

kila siku wanafanywa na kufanyiwa madhambi, wala hakuna kosa jipya dunia hapa. lakini wamo tu!
 
dada pole mganga sikitu kwenye mapenz

me niliachwa na m2 ambae sikutarajia nikiwa na mimba ya miez3 Mungu alinsaidia had leo mwanangu hamjui baba nami sina muda wa kuhangaika nae nammudu mwanangu kwa raha zangu.

Daaha hongera na mwenyez mungu amkuze Salama mtoto wako



Pole mamy......

Si wakumpa pole ni kumpongeza n wanawake wachache wana uvumilivu km huo wengine wangeshaua
 
Mpenzi wangu kanitamkia rasmi kuwa hanipendi nimeumia sana ninaujauzito wake wa miezi 7 na tulikua tunaishi pamoja anawiki sasa anarudi saa 6,7 leo nimemkalisha chini kanijibu.

Nilikua nakupenda sasa hivi sikupendi nikamwambia mimi nakupenda kanijibu ( siku hizi hakunaga kupenda) jamani nampenda sana pamoja na yote anayonifanyia naombeni kama kuna mtu ana fahamiana na mganga yoyote anijulishe aniPM namba yake niweze kutatua matatizo.

NISAIDIENI NAJUA KUNA WATAKAO NISHANGAA LAKINI IMETOKEA TU NA SINA JINSI NAMPENDA SANA NACHOTAKA ARUDISHE MOYO KWANGU.
Mganga wa nini wakati mchawi unaweza kuwa wewe mwenyewe!!! Acha ushirikina , mpe mungu nafasi.Ulishakosea na bado unaendelea kukosea!!!!
 
dada pole mganga sikitu kwenye mapenz

me niliachwa na m2 ambae sikutarajia nikiwa na mimba ya miez3 Mungu alinsaidia had leo mwanangu hamjui baba nami sina muda wa kuhangaika nae nammudu mwanangu kwa raha zangu.

mi niliachwa naimba pia 4months na nlipga moyo konde maisha yanaenda japo nimeolewa sa hv na mtu mwingine
 
Dada maimatha

Una kazi

kama Ndio ondoka nenda kaanze maisha mapya

Km hapana rudi kwa wazazi wako Lea hiyo mimba huwezi jua labda huyo mtoto ndie atakayekuja kuwa kipenz chako

Huwa naumia sana mtu akikutwa na hali Hui

Mtegemee mungu hakuna penz la kwa mganga

Mungu yupo na kila limfikalo mja mola ameandika

Huo n mtihan mdogo kwako utauvuka
 
Last edited by a moderator:
pole sana dadangu.....hizo ndio ajali za kimapenzi kama unavyoona ajali za magari basi na kwenye luv hizo ndo ajali zake,
kitu cha kwanza jitahidi kutuliza akili yako kwa kutumia muda wako kwenye kazi na usisahau kusali sala za upweke yaani sala za usiku ili umuombe mungu akupe ustamilivu..... mara nyingi muda ukipita kidogo baadhi ya mambo yanaweza kuzungumzika tofauti na sasa pengine jamaa ana hasira zake...jaribu kushirikisha watu wenu wa karibu wenye busara mtapata suluhu...pole sana
 
Pole sana dada,lakini ni vizuri ukawa mvumilivu hadi ujifungue,nahisi hayo matatizo yamekuja kwa sababu ya hiyo mimba,mimba zinakuja na mengi,ukishajifungua anaweza akabadilika na akaapologize kwa yote yaliotokea,badae mkalea mtoto wenu kwa furaha na amani.
 
Mpenzi wangu kanitamkia rasmi kuwa hanipendi nimeumia sana ninaujauzito wake wa miezi 7

Kosa nambari moja....

naombeni kama kuna mtu ana fahamiana na mganga yoyote anijulishe aniPM namba yake niweze kutatua matatizo.

Kosa nambari mbili...
 
pole bestito kwa uliyoyapata ila kwanini bestito ulikwenda mzimamzima kuishi naye?
kwanini hukukfuata taratibu za mila na desturi za mwafrika best ?
mpaka unaona amekubebesha mzigo sasa anaona atashindwa kuulea
atafuta kisingio eti hakupendi na wakati mwanzoni alisema sweety, baby,
yote hiyo ilikuwa ni danganyatoto kula ......mbichi?
Hivi ndugu yangu hukuwafahamu WANAUME walivyo hukujua kuwa wanaume
ni kondoo na kumbe ndani ya mbwa mwitu, sio wote wako hivyo ila baadhi
ya midume iko hivyo? Bestito nimejisikia vibaya wewe kuwa hivyo

SAMAHANI KAMA NIMEKUKWAZA ILA CHA KUFANYA:

a) Achana naye kabisa na futa mawazoni mwako kwani huyo hakupendi
bali alikutumia wewe kama chombo cha starehe kwake abudurike

b) Anza kuwaza mambo yako na ondoa fikra juu yake eti wampenda
atakupotezea muda wako wewe zingatia huyo kiumbe aliyeko tumboni
mwako mlee atakuja kukusaidia hapo baadaye

c) Mkabidhi Mungu mambo yako yote naye ni njia na atakutendea ya ajabu
kwa sasa unaona magumu kwako ila Mungu yuko mfuate yeye kwa sasa
na mkabidhi maisha yako naye atakutokea bestito

samahani kwa hapo mbele nimekulaumu ila nilitaka kujua zaidi kwanini uliamua
kufanya hivyo WANAUME si watu bestito ni watu ambao HAWATABIRIKKI KABISA


Mpenzi wangu kanitamkia rasmi kuwa hanipendi nimeumia sana ninaujauzito wake wa miezi 7 na tulikua tunaishi pamoja anawiki sasa anarudi saa 6,7 leo nimemkalisha chini kanijibu.

Nilikua nakupenda sasa hivi sikupendi nikamwambia mimi nakupenda kanijibu ( siku hizi hakunaga kupenda) jamani nampenda sana pamoja na yote anayonifanyia naombeni kama kuna mtu ana fahamiana na mganga yoyote anijulishe aniPM namba yake niweze kutatua matatizo.

NISAIDIENI NAJUA KUNA WATAKAO NISHANGAA LAKINI IMETOKEA TU NA SINA JINSI NAMPENDA SANA NACHOTAKA ARUDISHE MOYO KWANGU.
 
Jamani nitapata wape machine za kukoboa mpunga hapa mjini DSM. Nataka nianzishe ujasiliamali kwa kukoboa mpunga huko Ifakara.
 
hahahahaaaaaa daddy msaidie amechanganyikiwa huyu ndo maana anaandika hivyo

ameshadata kwani mwanzoni mwa mahusiano yao hakutegemea kama ingetokea hivyo
amelaghaiwa mwenzetu tumshauri tu na amefanya makosa makubwa aombe TOBA kwa Mungu
naye atamrehemu na kingine ajifunze kumsahau huyo kwani hampendi alikuwa anamtumia tu
kama chuma cha gari moshi

Kosa nambari moja....



Kosa nambari mbili...
 
yaani kama ulikuwepo ndugu yangu hakuna mwingine cha kufanya yeye afuate haya:-

[h=3]
Amekwisha fahamu kwamba yeye ni mwenye dhambi kwa kuzaliwa na kwa kutenda. Ndivyo ulivyo. Huwezi kukataa. Maisha yako yanakushuhudia mwenyewe kwamba uko mbali na mapenzi ya Mungu. Ukiri wazi jambo hili kama walivyofanya watu hawa katika Biblia:

[/h] [h=3]A)ALIJITAMBUA KUWA NI MKOSEFU MFALME SAULI

"Ndipo Sauli akamwambia Samweli, nimefanya dhambi; maana nimeihalifu amri ya BWANA…"
YOSHUA 7:20:


ZABURI 32:5:
"Nalikujulisha dhambi yangu, wala sikuuficha upotevu wangu. Nalisema, Nitayakiri maasi yangu kwa BWANA …………."


b) USIKITIKE KABISA KWA DHAMBI ZAKO, UZIUNGAME NA KUWA TAYARI KUZIACHA KUANZIA SASA NA UWE TAYARI KUOMBA MSAMAHA

ZABURI 38:18:
"Kwa maana nitaungama uovu wangu, na kusikitika kwa dhambi zangu."

C) ASIFICHE DHAMBI ZAKE AMKABIDHI YESU ANAYEOKOA

MITHALI 28:13:
"Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema."
LUKA 18:13:
"Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali, wala hakuthubutu hata kuinua macho yake mbinguni, bali alijipiga-piga kifua akisema, Ee Mungu, uniwie radhi mimi mwenye dhambi."

[/h]


mganga wa kweli ni YESU pekee.
 
Nipigie Ustaadh Swaleh 0653-990025

Narudisha mpenzi, mvuto, kusafisha nyota, ngiri, nguvu za kiume, kushinda kesi, utajiri, na mengineyo mengi tu.

Piga tuongee.

acha @#%%*-/))-😉©℉€_~±•°°
 
Ndugu yangu Dada yangu, mimi nakushauri muombe Mungu akufanyie muhujiza zaidi na kukupa moyo wa uvumilivu, mme nzuri anatoka kwa bwana na riziki yako Mungu tayari kaipanga. huyo mume kama ni wako Mungu amekupangia utampata tu. ila kama si riziki yako Mungu atakusaidia na kukupa ubavu wako dada yangu. hawa waganga wa jadi wengine na matapeli tu watakuongezea mikosi na zaidi watakulia hela na kukufanya pia umukosee Mungu.
 
Mmmnh... Mi ikitokea mtu amekuwa muwazi na kuniambia hanipendi, kwanza nitashukuru Mungu kwa kumpa huo ujasiri maana sio wote wenye huo uthubutu wa kutamka waziwazi kuwa hakupendi...!

Baaada ya hapo nitaendelea na maisha yangu kivyangu...! Hii dunia siyo ya kumbembeleza mtu asiye na mpango na wewe..! Tulia na ulee hiyo mimba mpendwa... Achana na mambo ya waganga, utaliwa pesa zako mpaka ujute.!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom