Tubu waache wote Anza upya huwapendi wote waongozwa na nyege huwezi kupenda vitu viwili kiasi Cha usawa kila mtu ni unique iweje uwapende wote . Nyie wanaume kwa kujitaftia laana, ukute wadada wa watu wanakupikia, kukufuia wakifikiria ndoaSasa nifanyeje na tayari nimesha haribu kwahiyo sistahili kuishi au kusamehewa na kupewa nafasi ya kurekebisha makosa yangu?
Mwanaume anayetongoxa gia ya ndoa ni tapeli aisee mana Hilo jambo huja automatic.Hiv inakuaje mtu ana buy huu ujinga wa "nitakuoa"???
Mm sijawah aisee.
Hata mke wangu tu sikuwah kumuahid kama nitamuoa.
Ukipata mwanaume wa hivi mwenye utu na hekima lazima umtii na kumheshimu, maana ni true definition ya real gentleman, man.wanaume wote wangekua kama wewe ingekua raha sana....
Me nawaonea huruma hao wanawake, kama mwanaume anashindwa kufanya decision muhimu kama hii mwenyewe hadi aje atangaze huku basi kazi wanayo hao gfs zake.Hafu wenzie nao wapo kumjaza mashudu tu.
Yaani wao hili hawaoni Kama ni kosa,wanaona sawa tu[emoji26]
Ningepata mwanaume design yako anayejielewa hivi loh. I wish wanaume wangekuwa na mtazamo chanya hivo matatizo na machungu ya wengi yasingekuwepoIn the first place you are just a selfish nigga
You are such an idiot that you are playing with two of them.
You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.
Don’t You have your self respect?
How can you do such shit and without guilt you are roaming around?
Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?
Do you even think just for once for being such a jerk?
I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.
Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!
And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.
God knows how you look at yourself.
Mwanaume hajakuwa matured atawatesa bure na wakijua watamubwagaMe nawaonea huruma hao wanawake, kama mwanaume anashindwa kufanya decision muhimu kama hii mwenyewe hadi aje atangaze huku basi kazi wanayo hao gfs zake.
Ushauri mwingine una mislead watu ujue wengi tumeona scenario ya mleta mada kwa watu tofauti na Sasa kwao ni majuto, Bora kumuacha mtu kimya kuliko ugomvi maana akiingia kwenye ndoa ya udanganyifu amani itatoka wapi, maana na yeye ataanza kudaganywa, Bora mtu usijue uongo wake mpaka mbeleni ukiwa mumeshachokana. Kula leo na kesho pia reactions differ. Kwanini uumize mwingine Wana ume muwe mnafikiria mbele vizuri.Unapotoa ushaur kuna namna mbili kuukataa au kuukubali huu ushaur ni mbovu kwako kwangu ndio nimeona uko vr
Kabisaa.Mwanaume anayetongoxa gia ya ndoa ni tapeli aisee mana Hilo jambo huja automatic.
Pia tujifunze kutokuji commit kwa mtu yoyote maana unakuwa na Deni.
Do not commit to anyone by Robert Greene 48 laws of power.
Ukipata mwanaume wa hivi mwenye utu na hekima lazima umtii na kumheshimu, maana ni true definition ya real gentleman, man.
Sawa ngoja nikitafte Mana natumia simuKabisaa.
Plz share hiyo link ya hicho kitabu boss
Wanaume wa hivi kuwapata nadra sanakabisa yaani heshimanyote unampa
Hata mimi nimewaonea huruma sanaMe nawaonea huruma hao wanawake, kama mwanaume anashindwa kufanya decision muhimu kama hii mwenyewe hadi aje atangaze huku basi kazi wanayo hao gfs zake.
Kwa hii situation, angesitisha tu swala la kuoa kwanza hadi pale atakapojitambua anahitaji nini kwenye ndoa.Mwanaume hajakuwa matured atawatesa bure na wakijua watamubwaga
Dah... Nakuonea huruma sana mwanangu!Very matured advance nitafanyia kazi hili mkuu Asante sana ila nahofia kesi maana hapo na deal na hisia za mtu aliyependa tena Yuko very serious, anaweza kujidhuru au kunidhuru Mimi au kunidhuru aliyechaguliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mkirogwa mnalalamika..acha watoto wa watu huwastahili..jinga weh
Na umsubiri binamu karma akufundishe adabu.
Watoto wawatu wacha Mungu hawawezi kukubali huo upuuzi
Vita vya panzi au sioOya mwanangu nipe mmoja.