I'm humbled mkuu.Kama kunawatu walionielewa Basi wewe jamàa umenielewa vilivyo
then kabla ya kuchukua uamuzi wa kuomba ushauri humu jf sikudhani Kama nitapata mtu atakayeijua dhamira yangu kuwa kweli nimekosea lakini nahitaji njia nzuri ya kutafuta amani ya moyo. Wengi wameishia kunilaumu na kuniona mkosaji niliye dhaifu na sifai kuwa kichwa Cha familia.
Yote kwa yote nimegundua leo kambe jf Kuna watu wenye akili nyingi sana naweza sema wewe jamàa ni genius
Ahahaha nimeipenda hii unaona fursa popoteBro, umeoa???
Kama bado 'yes I do'..! 😀
Huyo wa kwanza alifanya uamuzi sahihi, huwezi kaa na mtoto wa watu kienyeji tu bila kwao kua na taarifa. Labda iwe familia ambayo haina utaratibu... Unataka mke nenda kwao kajitambulishe na fata taratibu zingine.
Sema tu ulikua unamtaftia kisingizio umuache sababu kukataa kubeba mimba kabla ya ndoa na kuishi unyumba kienyeji na wewe sio kigezo et hakufaa kua mke.
Vigezo havifanani lakini kilammoja anasifa ya kuitwa mke mwema. Nimejaribu sana hata kutafuta vijisababu ili mmoja akate tamaa lakini kila mmoja anaonesha yupo serious na anachokifanya
Af anajisifia kabisa et nimemuacha aolewe na baba yake! Mtu hana hata heshima kwa mzazi, ataweza kweli kumheshimu mke?Nimemheshimu sana huyo mwanamke na hongera kwa baba yake kwa kumpa malezi mazuri; hata sasa ameweza kujiheshimu nakuwaheshimu wazazi wake. Kuna vitu vichache vinaweza kukupa picha ya familia aliyotoka mtu. Mzazi gani atayefurahia binti unajihamishia kwa mwanaume bila kufuata utaratibu; si ni matusi hayo kwa wazazi wako and a sign of desperation?. The girl knows her worth; it shall be well with her. Haya mambo mengine ni upuuzi tu ambao unalazimishwa uonekane kama ndo taratibu ya dunia hii,
Wanaume wafujaji utawajua tu; masharti kama waganga; mara hamia kwangu! Mara beba mimba, mara kaishi na mama yangu nione kama mtapatana. Yani utafikiri una maisha ya kufanyia audition afu yeye ni perfect man so no need of audition. Imagine hapo wadada wote wangebeba mimba ingekuwaje?
Multiple relationships=Multiple confusions
Hapa ndio hua mnafeli, kwa hyo sababu yako umenchekesha sana mkuu😂Daaaah mkuuu uko kama mm nina wawili sielewiii naoa yupi naachaa yupiii ilaaa mm kuna mmoja naona familia yao sio kubwa kvle kwa hyo nimepgaa calculations za future nisije nikawa na unecessary extended family ya kusomesha watoto wa wakwe,
😂 😂Ahahaha nimeipenda hii unaona fursa popote
Ahahaaaa hatari sana😂 😂
Fursa popote mumie, wanaume wenyewe hawa wa kuunga unga mpaka utie karoti na hoho??
Ukipata kifaa yako moja hakikisha unaikamata hasaa.!!
una roho ngumu sana wewe, elewa kuwa nimekiri kosa langu nahitaji kujisafishaUlifanya kwa makusudi.
Wewe bado hustahili
sawaaaa nitakupa mrejeshoooo, naona umetumia ule msemo wa wahenga filisika tujue tabia ya mkeo hahahahahahahJifanye umeishiwa au umefilisika
Hiki ndio kipimio kizurisawaaaa nitakupa mrejeshoooo, naona umetumia ule msemo wa wahenga filisika tujue tabia ya mkeo hahahahahahah
Nimekuelewa sana ndugu unaonekana ni mchambuzi mzuri sana wa mambo lakini najua kweli nilikuwa mkosaji kwa miaka hiyo yote miwili, najutia sana makosa yangu je sistahili kusamehewa, mbinu nilizotumia mwanzo zinakaribia kufeli kwasababu sina uwezo wa kuwaoa wote wawili ndiomaana nahitaji ushauri. mwanzo sikuhitaji ushauri sababu niliweza kuwamudu wote na halikuwa tatizo kwangu lakini kwasasa yamenifika shingoniMkuu wewe umeanza kukosea tangu mwanzo. Halafu hakuna kipindi ulikua na wakati mgumu kama kipindi unaaanza kumtamani huyo wa pili kwa sababu tayari ulikua na huyo wa kwanza. Ulimlaghai na akakukubali na ukuwahi kumwambia ukweli kuwa kuna mwenzake, ukatumia akili, nguvu, muda na pesa kuhakikisha unatimiza tamaa zako, na wakati huo wote hukuja kutuomba ushauri ila ulimudu. Mbinu zile za mwanzo naona zitakufaa zaidi ama la basi tuanzie kule mwanzo ulifanyaje mpaka ukaweza kudumu nao miaka miwili bila wao kujua?
Pia avatar yako ina jina tata, 'akili kijiko' hua nasikia wakisema wanaume wanatakiwa kuishi na wanawake kwa akili, sasa wewe akili yako kijiko unawezaje? Kaongeze akili kwanza.
Hii ni dhambi umefanya, sasa unatafuta wa kushiriki nao dhambi yako sio?
hao watu wana mioyo, na una deni kubwa la kulipa
Nisamehe kama sijakushauri kama ulivyotegemea.
Kama shida ingekua ni pesa ya mahari na umekwama pengine ningefikiria kukuandikia hundi.
Pole sana