Nisaidieni nahisi nina ngoma

Nisaidieni nahisi nina ngoma

Ahsanten sana na sory kwa uandishi.
Ni kwel ndom ili burst na nmeshapima had miez mi5.na dr kasema ni conclusive.

Knachonisumbua ni hili lisilotaka kunyamaza na ulimi mweupe.
Na sio kwamba nilikua nao since then coz i never had any risk apart from hyo ndom burst.
And i rarely get sick.
Wengi Yametukuta hayo mtu unapima ngoma mpaka akili ina sizi kitu ni NEGATIVE lakini mwili bado upo vibaya tumuombe Mungu tu Ndugu Yangu
 
acheni upimbi...dogo kapotea miaka minne sasa hana mbele wala nyuma
 
Kwanza umedanganya, umesema mpira ulipasuka si kweli wewe utakuwa ulipiga peku.

Pili unaonyesha ni mhuni kama wahuni wengine tu na si mlokole kama ulivojinadi kuwa unafanya maombi.

Tatu unaonyesha kama bado upo kwenye foolish age, zingatia masomo kwanza mengine utakutana nayo baadaye.
naunga mkono hojaa mkuu huyu bado kindaaa
 
Utamu mnaupenda ila kharaha hampendi binadamu Buana
 
Back
Top Bottom