Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Habari, kwa maumivu niliyonayo sijui hata kama naandika sahihi
Jana nlienda hospitali nikiwa na complication kadhaa, walinipima fbp,hpyrori, uti, maralia vyote nikawa neg ila najua nina historia ya hpyrori hapo nyuma na ninatumia lasergel
Nlipewa brufen, dawa ya vidonda na cipro jana jion nlianza dose sikunywa brufen huwa sitilii maanan sana dawa za maumivu and huwa nakunywa ninapoona nimezidiwa sana ama nina jukumu lazima nilifanye na huku nipo kwenye dose.
Sasa nimeamka asubuhi nikafanya majukumu yangu ila mda wa saa6 nikanywa vidonge vyote kwa maramoja ikiwemo na brufen coz nlikuwa job.
Sasa saa11 nimeanza kuhisi maumivu makali ya tumbo ikabidi nikimbie hom haraka ninywe lacergel huwa inanipatia relief haraka.
Hii imedunda bado maumivu ni makali mno yanazunguka sasa kiunoni na mgongoni, pia nahisi kuchefchef, nimerudia tena kunywa lacergel ila sipati nafuu
Jana nlienda hospitali nikiwa na complication kadhaa, walinipima fbp,hpyrori, uti, maralia vyote nikawa neg ila najua nina historia ya hpyrori hapo nyuma na ninatumia lasergel
Nlipewa brufen, dawa ya vidonda na cipro jana jion nlianza dose sikunywa brufen huwa sitilii maanan sana dawa za maumivu and huwa nakunywa ninapoona nimezidiwa sana ama nina jukumu lazima nilifanye na huku nipo kwenye dose.
Sasa nimeamka asubuhi nikafanya majukumu yangu ila mda wa saa6 nikanywa vidonge vyote kwa maramoja ikiwemo na brufen coz nlikuwa job.
Sasa saa11 nimeanza kuhisi maumivu makali ya tumbo ikabidi nikimbie hom haraka ninywe lacergel huwa inanipatia relief haraka.
Hii imedunda bado maumivu ni makali mno yanazunguka sasa kiunoni na mgongoni, pia nahisi kuchefchef, nimerudia tena kunywa lacergel ila sipati nafuu