rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Kipipi unaishi wapi ndg yangu?
Angalia kwenye red hapo chini.
WANAUME WANAOKUBALIWA KUFUNGWA PINGU ZA MAISHA TZ HAWAONEKANI WOTE WANAJIFICHA na kina dada wanawawinda kweli,sasa dada kampata wewe unamwambia amwambie jamaa asubiri?si atafurahia kula vya bure,vikichakaa anachukua vingine brand new?
SIKU HIZI
Angalia kwenye red hapo chini.
WANAUME WANAOKUBALIWA KUFUNGWA PINGU ZA MAISHA TZ HAWAONEKANI WOTE WANAJIFICHA na kina dada wanawawinda kweli,sasa dada kampata wewe unamwambia amwambie jamaa asubiri?si atafurahia kula vya bure,vikichakaa anachukua vingine brand new?
SIKU HIZI
Kwani huyo mchumba wako anashindwa nini kukusubiri ukamaliza chuo? Manake mi naona kutumikia vitu viwili kwa wakati mmoja napo ni shughuli eti......tena kama nyie mtakaokuwa kwenye ndoa changa unaweza ukajikuta unabase sana kwa mume kuliko hata masomo! Kuna wazazi ambao hawapendi mabinti zao waolewe wakiwa katikati ya masomo, juzijuzi tu nilipishana na binti akilalamikia suala kama hili cjui nae aliishia wapi!