Kosa lako hujagegedwa vyakugosha na wanaume wengine.nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
Yupo very very maketabooooWewe kila siku unapata ajira mpya,. washirikishe basi na vijana venzio humu unazipataga wapi na wao waende
kwakweli awape mbinu na wenzieYupo very very maketaboooo
Usijaribu kuacha kazi kwasababu ya Malaya.nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
Huwa naamini, mara nyingi mtu anayekuja kuomba ushauri mara nyingi hasa mtandaoni, lengo kuu ni kutafuta faraja.nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje
Unainekana unampenda Sana.nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
Kwangu alishapeleka mahali ndo hakupeleka uyo mwingine aloishi nae miaka minne ndo hakumtambulisha Kwa ndugu na hakutoa barua Wala mahali ndo uyo mdada kapata hasira kaondoka kwasababu anaona anakaa tu hatambulishwiUsiache kazi.
Jamaa aonyeshe jinsi gan yuko serious na hilo suala la kurudiana na ww
kwanza kwa kulea mtoto wake vizur.
-akuhudumie.
-kama umeridhia basi uwe unaenda for weekend kuonana nae.
-mwambie afuate taratibu za kupeleka Barua kwenu, mahar na atangaze ndoa
-mfunge Ndoa.
(Maana umesema hajapeleka barua kwako wala kwa huyo mama mtoto wa pili wa mika 4).
- Akupe mtaji wa biashara baada ya kufunga Ndoa .
Akifanya haya yote ndio unaweza kuacha kazi.
Sasa ww nenda kizembe ukajiachia ukawekwa mimba ingine na ukaachwa.
NB:
Ila mwanamke ukimzalisha hana ujanja, ndio maana wanaume weng hawatak Single mother , hamkawii kuuza game kwa baba mtoto .
Mshauri taratibu. USIMFOKEEKwanini usimwondoe kwenye akili yako kabla hujalia na kusaga meno? Ungekua dadaangu ningekushauri huku nikikutia makwenzi.
Kwakua una roho nyepesi badilisha laini kabisa na uepuke kukutana nae... Umeelewa?