Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Unatafuta mchumba kijanja sweetbaby hahahaaaa joke mwali usijali, Hiyo huwa inawatokea sana wenye maisha kama yako kabla hawajaolewa mara nyingi vijana wa kiume wanawaogopa hawa wasichana wenye kila kitu, wanahisi hawataweza kukudhibiti au kukwambia chochote, Cha muhimu jaribu kujichanganya na watu hata kama bado huitaji kuwa na mtu sasa hivi itakusaidia kuondoa upweke ulionaojamani wana jamii wenzangu embu nisaidieni mawazo.mie ni bint wa miaka 34 very attractive,nafanya kazi nina elimu yangu na ni mkristu mzuri.tatizo ni kwamba ninaishi mbali na watu wa familia yangu,na mie sio mtu wa kujichanganya sana,baada ya kuwa na uhusiano na vijana wawili na kukuta ni matapeli nimeamua sitaki tena uhusiano na mwanaume labda awe mchaga mwenzangu ni hi kwa sababu wale matapeli walikuwa wenyeji wa huku ninakoishi.tatizo kubwa sasa hivi nimekuwa mpweke sana yani ninataka kuwa mwenyewe muda wote nimepanga nyumba nzima sikai hata na house girl,siendi kwa mtu wala sikaribishi tena mtu kwangu nikitoka kazini sa nane sitoki ndani hadi kesho yake,hata rafiki akiniita out natoa excuse ya uongo wkend natoka kuosha gari na kusali tu,at list jamii forum is my near friend and Jesus whom i talk to everytime..je hi hali ni ya kawaida.?nifanye nini?