Bachelor of arts in ..... hii n degree mahusus kwa mtu aliyesoma arts form six baadhi ya nchi ipo kozi fulani hivi inayofanana sana na ya hapa bongo inaitwa bachelor of arts in biology ( haideal na mambo ya science yenyewe imebase kwenye management zaidi na communication skills ) wakati bongo inajulikana Kama bachelor of science in biology (deals with pure science )