asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,028
mtajeeee! au unataka vocha ndo utataja au lolipop?:eyebrows:kama wewe ulivyoganda kwa desh desh.
mtajeeee! au unataka vocha ndo utataja au lolipop?:eyebrows:kama wewe ulivyoganda kwa desh desh.
mtajeeee! au unataka vocha ndo utataja au lolipop?:eyebrows:
kama wewe ulivyoganda kwa desh desh.
Kweli this is a lost case! hadi AshaDii aseme hivi ujue hakuna chance kabisaaaaa!:lol:Grader pole saana kaka... Kweli umependa... Na wewe hapo ullipo hapo sidhani kama hata waweza kubali ushauri... Kwa muktadha wa kufahamu yooote hayo nilo weka blue bado unataka ushauri na bado umejiandaa kutoa mahari ya 1.2... We kaka wewe Mwanaume wa wapi? Dah! Kweli Umejaliwa roho nzuri.... Naomba elezea... Unataka ushauri wa kumbadilisha tabia ama wa jinsi ya kuvumilia? Maani ni dhahiri mpango wa kumuoa uko pale pale.... Na take note: Lazima atakuendesha hivo just brace yourself.
si huwa mnasema walimu ndio wake wazuri? pole mlengwa msaidie ana matatizo huyo usimuache
Kweli this is a lost case! hadi AshaDii aseme hivi ujue hakuna chance kabisaaaaa!:lol:
Kwa mtoa mada, mshahuri awe anatumia condom huko nje. Inaonekana umesha mkubali alivo, basi angalau jikinge