Ndugu zangu,nawaomba mnisaidie kwani mke wangu mtarajiwa siyo muaminifu kwani anazini hovyo na watu kila anavyoona yeye sijui nifanyeje?
1. yeye anafundisha kwenye shule moja huko Tabora na mimi nafanya kazi kwenye kampuni ya ujenzi Dar.
2. Namsaidia kila kitu ikiwa pamoja na wazazi wake pia LAKINI kweli kunguru hafugiki na kila kukicha anaendeleza dozi ya wanaume.
3. Wakati wa likizo ndiyo kubwa zaidi amenidanganya anakuja huku Dar,kumbe amekwenda kwa mwanaume mwingine.
4. Bibi yake anamjua huyo jamaa mwingine anamfichia.
5. Ndugu zangu nitaongea mengi LAKINI moyo unaniuma hali ambapo nimempenda mtu lakini ananifanyia hivyo hali ambapo nimegharamia hela nyingi kwenye mahali pekee ni Tsh 1,200,000/-
Ndugu zangu,nawaomba mnisaidie kwani mke wangu mtarajiwa siyo muaminifu kwani anazini hovyo na watu kila anavyoona yeye sijui nifanyeje?
1. yeye anafundisha kwenye shule moja huko Tabora na mimi nafanya kazi kwenye kampuni ya ujenzi Dar.
2. Namsaidia kila kitu ikiwa pamoja na wazazi wake pia LAKINI kweli kunguru hafugiki na kila kukicha anaendeleza dozi ya wanaume.
3. Wakati wa likizo ndiyo kubwa zaidi amenidanganya anakuja huku Dar,kumbe amekwenda kwa mwanaume mwingine.
4. Bibi yake anamjua huyo jamaa mwingine anamfichia.
5. Ndugu zangu nitaongea mengi LAKINI moyo unaniuma hali ambapo nimempenda mtu lakini ananifanyia hivyo hali ambapo nimegharamia hela nyingi kwenye mahali pekee ni Tsh 1,200,000/-
Hamna ushauri hapo zaidi ya kupiga chini, au mpaka akupatie ukimwi ndo uanze zile za ningejua? PIGA CHINI FASTA, ALAAAAH!
ndugu zangu,nawaomba mnisaidie kwani mke wangu mtarajiwa siyo muaminifu kwani anazini hovyo na watu kila anavyoona yeye sijui nifanyeje?
1. Yeye anafundisha kwenye shule moja huko tabora na mimi nafanya kazi kwenye kampuni ya ujenzi dar.
2. Namsaidia kila kitu ikiwa pamoja na wazazi wake pia lakini kweli kunguru hafugiki na kila kukicha anaendeleza dozi ya wanaume.
3. Wakati wa likizo ndiyo kubwa zaidi amenidanganya anakuja huku dar,kumbe amekwenda kwa mwanaume mwingine.
4. Bibi yake anamjua huyo jamaa mwingine anamfichia.
5. Ndugu zangu nitaongea mengi lakini moyo unaniuma hali ambapo nimempenda mtu lakini ananifanyia hivyo hali ambapo nimegharamia hela nyingi kwenye mahali pekee ni tsh 1,200,000/-