Nisaidieni kukuna kichwa

Nisaidieni kukuna kichwa

Mmmmmmmhhhh !!!!!!!!!!!!!
????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Naomba kuuliza hiyo nayo unaweza kusema kuchapiwa ni siri ya ndani?
 
Eti nini? Kakubaka kisa mumeo kasema uvumilie?nani kasema kuna udugu wa kushare tunda la mti wa kati?
 
Chezea ugwadu wa jela wewe!halafu una mkalia ki hasara hasara shemeji kwa nini asikurenge!mumeo nae alivyo boya eti...
 
Duuu sijawah sikia huyo mume wako ana roho ngumu hadi shetan anaogopa.....?????????umvumilie katoka jela kwa hyo we ndo jamvi la wagen au..................
 
Duu hivi ulivyo andika mwaka 2014 utafikiri si mwaka huu.
HIVI ILIKUWA MWEZI WA NGAPI?
Hii story yako ina utata sana.

Samahani lakini.
 
Sumtyms I wonder tunaelekea wapi maana hizi threads za uwongo na kweli zinatuboa jamani!
 
Utakapobakwa kweli utajua pakwemda wala hutokujakuomba ushauri huku.
Na uache fiksi
 
Mume wangu ni mzee kijana, hakuwahi kuniambia kuwa walizaliwa mapacha.....

Niliolewa na mumewangu miaka 3 iliyopita, tumebarikiwa mtoto mmoja wa kike, mumewangu ni mfanyakazi na pia ni mfanyabiashara. Mwaka mpya 2014 nilipata surprise nyumbani kwangu baada ya mume wangu kurudi na mwanaume mwingine ambaye wamefanana mnoo, kumbe ni pacha wake. Hakuwahi kuniambia kuwa walizaliwa mapacha kumbe walificha kwasababu pacha wake alifungwa jela tangu akiwa na miaka 25. Familia yao ilifanya hivo kuficha aibu ya familia hivyo mwaka huu ndokamaliza kifungo na akataka kuja kwa pacha wake apumzike. Ni mwezi sasa unakaribia kuisha huyu pacha wa mume wangu yupo nyumbani na sijui ataondoka lini.
Havi ninavoandika pacha kanibaka usiku wa kuamkia jumamosi iliyopita. Nimemueleza mumewangu kanipa pole na kaniambia yule ni kaka yangu nimvumilie ametoka jela......
Ntaendelea baadae..

hii utakuwa umeangalia movie, au umependa tendo la kubakwa usingekimbilia hapa!!
 
Mhhhhhhhhhhhhhhh!Siku hizi humu watu waongo waongo tu!
 
Dah kweli lakini baada ya jamaa kuzama mbona ulikata kiuno na kushughulika vilivyo.
 
Back
Top Bottom