Nisaidieni kukuna kichwa

Nisaidieni kukuna kichwa

kasharidhia kubakwa, sasa sijui huku kafuata nini tena.
Wanawake ni viumbe dhaifu na wa kuhurumiwa. Wanaitaji mwanaume muadilifu sana kuwaongoza bila ya kuwadhulumu.
 
Mume kasema yule kaka yake umvumilie? Ngumu kumeza hata hajamsemesha?

malizia kusoma nilipoendeleza toka nilipoishia jana kisha utajua kama ngumu kumesa au kutema.
 
Kazi kweli kweli. Mtoa mada kweli uliyoandika yamekutokea au umeamua kufurahisha jukwaa tu. Nasema hivi kutokana na ulivyoandika mada yenyewe, hebu kuwa wewe msomaji je ungeichukuliaje mada ya namna hii.

Malizia kusoma muendelezo wa ilipoishia jana utapata jibu.
 
Hata kama nikimalizia kusoma huyu mwanamke ni juha wala simtetei, kwa nini usimng'ate ma***bu yake? shame on u huko ni kujirahisi na yeye pia anasumbuliwa na genye.
 
malizia kusoma nilipoendeleza toka nilipoishia jana kisha utajua kama ngumu kumesa au kutema.
Asante naona jana ilikuwa episode ya kwanza. Je yangekukuta ungechukua uamuzi gani (najaribu kufikiria tu)?
 
haijalishi,cha muhimu mjeda alifaidi

nimejikuta tuu nasoma signature yako, can't recall why?? u r missing the opportunities ujue.........(for not re-calling back)
 
Asante naona jana ilikuwa episode ya kwanza. Je yangekukuta ungechukua uamuzi gani (najaribu kufikiria tu)?


si rahisi kukujibu hapa, ila my mind tells me what u r thinking......
 
Back
Top Bottom