Kati ya njia kuu na michepuku ipi inaokoa muda? Kuna mtu alinishauri niachane na njia kuu kwan hupoteza muda. Point yake ni kwamba njia kuu kuna foleni sana wakati michepuko unatafuta tu upenyo na kuongeza spidi zaid. Pia anasema njia kuu kuna vikwazo na masharti weeeee!! Kwangu mimi alinishawishi sana ila nikashindwa kwenda michepuko au kwenda njia kuu, nimebaki njia ya kati nimekoswa appropriate side. Msaada wenu watalaam wa kupambanua mambo.