Nisaidieni Jamani, Napaliwa sana nikiwa Usingizini

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,850
87,032
Nimejikuta hili tatizo linaongezeka tu.

Yaani nikiwa nimelala napaliwa na mate kaisi kwamba nashindwa kupumua kabisa! as if nakata network baada ya hapo itanichukua muda sana hadi kuja kutulia na kupata usingizi tena.

Nimebadilisha style za kulala lakini bado sioni dalili. Haitokei kila mara ila ikitokea hua inaninyima raha sana na inaonekana tatizo hili linaongezeka kila siku. Hua nashindwa hata kupumua kabisa. Ni hali ya hatari inayonitisha sana, nisaidieni Wapendwa
 
Kama una uzito usioendana na umri wako jitahidi kupunguza, kingine usipendelee sana kulala chali!
 
Nimejikuta hili tatizo linaongezeka tu,
Yaani nikiwa nimelala napaliwa na mate kaisi kwamba nashindwa kupumua kabisa! as if nakata network baada ya hapo itanichukua muda sana hadi kuja kutulia na kupata usingizi tena. Nimebadilisha style za kulala lakini bado sioni dalili. Haitokei kila mara ila ikitokea hua inaninyima raha sana na inaonekana tatizo hili linaongezeka kila siku. Hua nashindwa hata kupumua kabisa. Ni hali ya hatari inayonitisha sana, nisaidieni Wapendwa

Pole sana Ndugu yangu na mimi nilikuwa na tatizo kama la kwako,lakini sasa hv limeisha,sitaki kukutisha lakini lazima nikuambie ukweli,kwanza check minyoo,kama hauna minyoo au unayo na umetumia dawa bado hali ipo vilevile nenda kacheck Moyo kafanye kipimo cha ECG na ECHO.

Lazima utapata majibu ya tatizo lako mimi nilipatwa na shida kama ya kwako nilienda Regency nikafanya hivyo vipimo na nikagundulika na tatizo la moyo, hiyo hali ilikuwa ikinitokea nakosa pumzi kabisa inabidi nifungue mapazia yote ya chumbani kwangu wakati mwingine nilikuwa nasimama dirishani ili kutafuta hewa ni kitu hatari sana unahisi kama roho inatoka!

Nenda hospital mapema ndugu yangu,Pole sana pia angalia kama tumboni kwako unasikia kama kumejaa Gesi,Ila ukimweleza Daktari hali yako atakusaidia zaidi.Mimi nilipatikana na tatizo la moyo kuna mishipa miwili hafanyi kazi vzr.lakini sasa hv nipo fresh.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Duh, kweli umenitisha, nitafanya hivyo Mpwa, yaani hua hii hali ikinipata naona kabisa kifo hiki hapa
Pole sana Ndugu yangu na mimi nilikuwa na tatizo kama la kwako,lakini sasa hv limeisha,sitaki kukutisha lakini lazima nikuambie ukweli,kwanza check minyoo,kama hauna minyoo au unayo na umetumia dawa bado hali ipo vilevile nenda kacheck Moyo kafanye kipimo cha ECG na ECHO.lazima utapata majibu ya tatizo lako mimi nilipatwa na shida kama ya kwako nilienda Regency nikafanya hivyo vipimo na nikagundulika na tatizo la moyo,hiyo hali ilikuwa ikinitokea nakosa pumzi kabisa inabidi nifungue mapazia yote ya chumbani kwangu wakati mwingine nilikuwa nasimama dirishani ili kutafuta hewa ni kitu hatari sana unahisi kama roho inatoka!nenda hospital mapema ndugu yangu,Pole sana pia angalia kama tumboni kwako unasikia kama kumejaa Gesi,Ila ukimweleza Daktari hali yako atakusaidia zaidi.Mimi nilipatikana na tatizo la moyo kuna mishipa miwili hafanyi kazi vzr.lakini sasa hv nipo fresh.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Duh, kweli umenitisha, nitafanya hivyo Mpwa, yaani hua hii hali ikinipata naona kabisa kifo hiki hapa

Poa Kaka uende hospital ndungu yangu Bado tunahitaji kuona Post zako humu jukwaani!Mungu akutie Nduvu.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nimejikuta hili tatizo linaongezeka tu,
Yaani nikiwa nimelala napaliwa na mate kaisi kwamba nashindwa kupumua kabisa! as if nakata network baada ya hapo itanichukua muda sana hadi kuja kutulia na kupata usingizi tena. Nimebadilisha style za kulala lakini bado sioni dalili. Haitokei kila mara ila ikitokea hua inaninyima raha sana na inaonekana tatizo hili linaongezeka kila siku. Hua nashindwa hata kupumua kabisa. Ni hali ya hatari inayonitisha sana, nisaidieni Wapendwa
Mkuu Pole sana Dawa ya kukutibu maradhi yako ninayo ukitaka nitafute kwa wakati wako ukihitaji matibabu yangu bonyeza hapa.Mawasiliano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom