sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Wadau naomba msaada ninakusudia kusafiri kwa gari ndogo kwenda rufiji lengo ni kwenda kuongea na wanavijiji wanaoishi pembezoni mwa delta ya rufiji, je ninapitia njia gani? Ni lami tupu? Je gari ndogo itafika mafuta niweke kiasi gani? Je ni mambo gani ya kuzingatia kabla sijaanza safari yangu? Naombeni maoni yenu