Ni siku ya pili leo simu yangu hai-boot zaidi ya kuonyesha alama ya apple tu,yaani hapa ndipo mwisho wake wa kuwaka.
kwa yeyote mwenye ujuzi/utaalam anipe maelekezo ya kufuata ili niinusuru simu yangu kwani bado sijaichoka.
nakaribisha michango na maelekezo
Ebu eleza kidogo nini kilitokea mpaka imekuwa hivyo, maana kama inaishia hapo kwenye logo kwa mawazo yangu ni tatizo dogo.
Fanya kudownload ipsw file la iphone 5 kwenye pc hopefully itakuwa ios 9.3.2 ndiyo ya mwishi kwa simu yako.
Bonyeza hapa kudownload kwenye pc yako
http://appldnld.apple.com/ios9.3.2/...D8400DF7EB/iPhone5,1_9.3.2_13F69_Restore.ipsw
Then chukua simu yako izime chomeka usb kwenye pc bila kuchomeka simu.
Fungua itunes kwenye pc then hold home button ya iphone yako kisha ukiwa umeihold plug in ule upande wa usb kwenye simu.
Simu itawaka ikiwa kwenye DFU mode, na itakuwa detected kwenye itunes.
Hapo sasa hold ctrl button then click update/restore, kwenye itunes, itafunguka window inayokuta u locate ulipoweka ipsw file ulilodownload.
Liselect then, kaa utulie simu wakati inakuwa restored.
Subiri mpaka mwisho simu itakapo jirestart ikiqa nzima.
Zoezi linaweza chukua kama dakika 20 mpaka kurestore.
All the best