una PC yenye iTunes?kwanini huwezi kutoa msaadagozi hapa kiongozi?
Mkuu na mimi naomba msaada yangu iPHONE 6 haijamaliza hata miezi 6 ghafla imezima.Mwanzoni ilikuwa inawaka inaishia Apple logo but sasa haiwaki kabisa na haiwi detected kwenye iTUNE.una PC yenye iTunes?
Kanunue tecno mkuuNi siku ya pili leo simu yangu hai-boot zaidi ya kuonyesha alama ya apple tu,yaani hapa ndipo mwisho wake wa kuwaka.
kwa yeyote mwenye ujuzi/utaalam anipe maelekezo ya kufuata ili niinusuru simu yangu kwani bado sijaichoka.
nakaribisha michango na maelekezo
Hahaha hiyo fake mkuuHizi ndio zile simu bora kuliko zote duniani.???
Ukiichomeka kwenye chaji inafanyaje au hairespond kabsa?Wakuu na mimi nina iPHONE 6 yangu,haijamaliza hata miezi 6 wiki iliyopita imezima ghafla ikawa inaishia kwenye Apple logo..baadae haiwaki kabisa wala haiwi detected kwenye iTUNES.Nimeshakata tamaa labda kama kuna mwenye uelewa wa hili ninaomba msaada.
Haioneshi kitu kaka..in short haioneshi kama ina chaji ila ukigusa kichwa cha chaja ni cha moto kuonesha kuwa simu inapokea moto japo display ndio haioneshi.Ukiichomeka kwenye chaji inafanyaje au hairespond kabsa?
Usha jaribisha kutumia charger tofaut...Haioneshi kitu kaka..in short haioneshi kama ina chaji ila ukigusa kichwa cha chaja ni cha moto kuonesha kuwa simu inapokea moto japo display ndio haioneshi.
Mkuu vyote nimejaribu ila sijaona mafanikio yoyote hadi sasa.Usha jaribisha kutumia charger tofaut...
Ama hold home button na button ya kuwasha kwa pamoja uone kama itashtuka
Hilo litakuwa tatizo la hardware may be ina tatizo la short ngoja wazee wa hardware wajeMkuu vyote nimejaribu ila sijaona mafanikio yoyote hadi sasa.