Nisahihi au nimeharakisha

Nisahihi au nimeharakisha

pure crazy

Senior Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
190
Reaction score
37
Habari za asubuhi wana Mmu mimi nikijana mwenye umri wa miaka 23 nafanya kazi yangu binafsi ambayo inanipa kipato maisha yangu yanaenda.

Nimwez mmoja sasa umepita tangu nilipofahamiana na msichana mmoja hv baadaya ya kufahamiana tuliweza kubadilisha namba za simu tukawa tuna wasiliana vizur ikawa si vibaya kwangu kuonyesha hisia zangu kwake kuwa nampenda sana.

Namshukuru mungu kuwa aliweza kunielewa ombilangu yeye ni gradurated wa chuo kwa sasa anasubir ajira mimi elimu yangu ni kidato cha nne ila yeye anamtoto mmoja alizaa kipindindi yuko form 6 so anamtoto tunapendana sana tatizo langu ni moja ambalo naomba msaada wa mawazo hivi karibuni kama siku tatu nilikuwa nimemwambia kuwa napenda na kujitambulisha kwenu akanambia kama uko serious niko tayari nilifurahi sana kwa sababu nampenda sana lakini jana alinipigia simu nakunibia unaonaje wakati nikisha pata kazi ndio uwemuda mzuri kwetu kuweka mambo yetu bayana kwani si unajua nilisha haribu so its good when nikiwa nilisha pata kituo changu cha kazi so soon atakuwa mwalimu je ni sahihi kwa yeye hadi atakapo pangiwa mwezi huu au ujao kaz ndipo tunaweza kutambulishana au mimi nimefanya haraka na kitukingine aliniambia kuwa ina bidi anifahamu vizuri je nisahihi nahuko atakako enda atanikumbuka au atanipotezea tunapendana sana kila mmoja huwa anajitahidi kumuonyesha mwenzekake feeling zake nampenda sana.


Samahani kwa uandushi wangu kama ntakuwa nime wakwaza ila naomba msaada wa mawazo muda atakapo kuwa mbali unaweza leta maendeleo ktka mahusiano yetu asante
 
Mfunge paka kengere mapema, kituoni atakutana na masele wenye elimu kama yake then atakumwaga. By the way ww endelea kusugua hiyo kitu haswaaa kwa muda huu, ila hilo sharti nina mashaka nalo, atakupiga chini tu.
 
Asante kwakunishaur but now tms nifanye nn niede kwao au ni msubir kama anavyo sema kuwa nisubir apate kitu kwanza plz ineed ushaur
 
Habari za asubuhi wana Mmu mimi nikijana mwenye umri wa miaka 23 nafanya kazi yangu binafsi ambayo inanipa kipato maisha yangu yanaenda.
Nimwez mmoja sasa umepita tangu nilipofahamiana na msichana mmoja hv baadaya ya kufahamiana tuliweza kubadilisha namba za simu tukawa tuna wasiliana vizur ikawa si vibaya kwangu kuonyesha hisia zangu kwake kuwa nampenda sana.

Namshukuru mungu kuwa aliweza kunielewa ombilangu yeye ni gradurated wa chuo kwa sasa anasubir ajira mimi elimu yangu ni kidato cha nne ila yeye anamtoto mmoja alizaa kipindindi yuko form 6 so anamtoto tunapendana sana tatizo langu ni moja ambalo naomba msaada wa mawazo hivi karibun kama siku tatu nilikuwa nimemwambia kuwa napenda na kujitambulisha kwenu akanambia kama uko serious niko tayar nilifurah sana kwa sababi nampenda sana lakin jana alinipigia simu nakunibia unaonaje wakati nikisha pata kaz ndio uwemuda mzur kwetu kuweka mambo yetu bayana kwani si unajua nilisha haribu so its good when nikiwa nilisha pata kituo changu cha kaz so soon atakuwa mwalimu je ni sahihi kwa yeye hadi atakapo pangiwa mwezi huu au ujao kaz ndipo tunaweza kutambulishana au mimi nimefanya haraka na kitukingine aliniambia kuwa ina bidi anifaham vizur je nisahihi nahuko atakako enda atanikumbuka au atanipotezea tunapendana sana kila mmoja huwa anajitahidi kumuonyesha mwenzekake feeling zake nampenda sana.


Samahan kwa uandushi wangu kama ntakuwa nime wakwaza ila naomba msaada wa mawazo muda atakapo kuwa mbali unaweza leta maendeleo ktka mahusiano yetu asante
😛eep:
kaka kaa ukijua ukifuga nyoka ambaye umemtoa porini ipo siku moja atakumbuka porini......!!!!!!!!!!!
 
pure crazy your real real craizy!!!!!!!!! huyo akipata kazi siyo wako na wala usilazimishe ndoa kwa sasa wait kuaw mvumilivu
 
Mic chaga siwangu when akipata ajira so now tms nifanyeje ni subir au nifanye hzo taratibu
 
Mic chaga siwangu when akipata ajira so now tms nifanyeje ni subir au nifanye hzo taratibu

Utafanyaje hizo taratibu wakat ameshakwambia msiburi au unataka kulazimisha? We muache kwa muda wake alokwambia ili hata ww uje kuwa na uhakika kuliko kulazimisha mambo alafu uishie kutoswa
 
Ntafurah kama ntafanikiwa kumuoa kitu ambacho kinaniumiza kichwa ni huko atakako pangiwa je atanikumbuka kweli au atanitupa coz mimi si msomi pia jana aliniambia kuwa nisinunue vitu ilinijiweke vzur kwa ajili ya mambo ya baadae coz tuta ishi pamoja je kweli au ananizingua
 
punguzs spidi kdg km wako n wako tu usiharakishe kwa kuhofia kutoswa kwa ajili ya wasomi wenzake mana ukiwa na hayo mawazo ndo cku atakwambia wanaenda simamia uchaguzi ama kusahihisha mitihani huku wewe presha inapanda na kushuka
 
Msimimi nimekupata so now day niwe polepole kwanza kwasababu ya kujua mikakati yake ya kituo cha kaz ni wap na je akiwa huko upendo utakuwa palepale she hapendi kunikosa kuniona nisipo onana nae lazma atakuwa mic u so akiwa huko kazn hawez kuwa convicing najua humu kunawachumba wa watu wengine je love kwa yule aliye mbali linakuwa kam awli
 
Sikushauri kwa huyo madam mana wanawake ndug yangu ni vinyonga yan akienda sehemu nyingine ujue co yule uliekuwa nae
 
Mungu akijalia when akiwa na work itakuwa vizur kwan now akiwa na mimba ajajua mazingira atakayo kuwepo ni tatizo kidogo
 
Kaomba muda, mpe muda uangalie mahusioano yenu yatakwendaje utapata majibu mazuri zaidi kuliko kuforce.

Kama hana nia mbaya sidhani kama kitaharibika kitu.
 
Wewe usiwe na haraka,umeharakisha mno muda mwingine unaweza ukafikiri ni mtu sahihi kwako kwakuwa umempenda mambo yatakapogeuka utajiona kama ulisinzia wakati wa kufanya maamuzi,kwanza mwenyewe amesema hamjajuana vizuri na mimi ninaamini hivyo ni mapenzi tu yanakufanya uwaze hayo,pili hakuna ushindani kwenye ndoa ndugu yangu kama ni wako atakuwa wko tu hata akipata kazi kumbuka na wengi hubadilika mara wapatapo kazi so subiri apate hiyo kazi uangalie trend ya mapenzi yenu then ufanye maamuzi ila kwa sasa ni mapema
 
Asante kaka kwa ushauri wako nzur nimeupenda sana thamks
 
Ntafurah kama ntafanikiwa kumuoa kitu ambacho kinaniumiza kichwa ni huko atakako pangiwa je atanikumbuka kweli au atanitupa coz mimi si msomi pia jana aliniambia kuwa nisinunue vitu ilinijiweke vzur kwa ajili ya mambo ya baadae coz tuta ishi pamoja je kweli au ananizingua

Hata kama siyo msomi but kwa umri ulionao unapaswa kuwa muelewa ktk mambo flani flani. Kuwa mvumilivu kama wengi wanavyokushauri, hakuna haja ya kukimbilia usikokujua. Vuta subira kijana usijeingia cha kike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom