tatiana, wakati mwingine unatuma sababu ya kuondoa kero!
huyo dawa yake cku ingine humtumii....
wasichana wengine ving'ang'anizi kiasi kwamba wanaume wanashndwa kuwakwepa.
mmh..mi ningependa nikutane na wa ivo
mmh..mi ningependa nikutane na wa ivo
ningekuwa naweza kung'ang'ania ningejitolea. Lol!
ha ha ha ha ILI ???,
kusema kweli inakera sana, sasa sijui ni tabia tu ya kupenda kuombakuomba?, AU
ni umasikini na kupenda kumiliki kitu ambacho hauna uwezo nacho wa kukihudumia??
Raha ya hudumu uhudumiwe pasipo kuomba ,ila huduma ya kuomba mimi inanichefua sana, na knn kila siku uhudumiwe wewe tuuu??,aah inabore sana.
Na ukiwa na tabia ya kuomba kuomba au kubeep kwa ajili ya kuomba ipo siku unaweza kubeep kwa jambo la maana na mtu akakupotezea ,kwa hisia kuwa aah huyu ananibp ili kuniomba vocha ,kumbe siku hiyo ni tofauti una jambo la maana na muhimu la kumwambia, ukakosa kusikilizwa.
HAIPENDEZI MACHONI,MASIKION,PUANI......ACHENI KUBEEP NA KUOMBAOMBA VOCHA KAMA HUWEZI KUIHUDUMIA SIMU USIIMILIKI.
KIBOGOYO MFUPA WA NINI????.................................
hahaha ILI tung'ang'aniane, manake aking'angania vocha, mi nang'ang'ania vingine mkuu.....
nimeipenda iyo, "Kibogoyo mfupa wa nn"
Tatizo ni kujua yupi maskini yupi tajiri, yupi wa masaki yupi wa kigogo... teh teh teh...[/QUOTE
mi nadhani tabia ya kuomba omba ni hulka ya mtu haijalishi hali ya kimasikini au kitajiri..
Tatizo ni kujua yupi maskini yupi tajiri, yupi wa masaki yupi wa kigogo... teh teh teh...[/QUOTE
mi nadhani tabia ya kuomba omba ni hulka ya mtu haijalishi hali ya kimasikini au kitajiri..
Nakubaliana na wewe nnunu, ni hulka tu, na kuendekeza dhiki au kupenda kutumia vya mwingine vyako vina budget!