Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 4,684
- 3,396
- Thread starter
- #21
Saivi tupo kanda ya ziwa hata ujikombe vipi hakuna kitu kwenu
Moja ya jambo rahis la kuwaelimsha wapotevu wa Taifa hili ni kukemea ukabila mnaojitangazia Imani yangu kama mtanzania maendeleo ya kweli yanaletwa kwa usawa na kumuunga mkono Mh Rais ni baraka kutoka kwa wana Kilimanjaro wenzangu